Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nashuku ndio wanawasha moto kati ya Uganda na Rwanda kama vile wanafanya Somalia ili tufungiwe bahari. Kutamani sana biashara ya port inawafanya hadi kutumia pesa za ndani kujenga reli ilhali wananyima wanabiashara hizo pesa which ultimately constricts the economy.
Endeleeni kushuku 😂😂😂
 
Sudan kusini wanalalamika fake products kutoka kenya, Rwanda wamezuia peanuts butter kutoka kenya 😂😂😂
Sheria zetu haziruhusu kusafirisha wanyama jamii ya ndege kutoka nchi nyingine.
wanazuia peanut butter na unga ambayo sisi ndio tumeban wa kwanza. Nashinda nikiwakumbusha someni details kabla ya kurukia headlines
 
wanazuia peanut butter na unga ambayo sisi ndio tumeban wa kwanza. Nashinda nikiwakumbusha someni details kabla ya kurukia headlines
Bidhaa zenu nyingi ni feki, hivyo tukiban itabidi tu mtulie sio kulalamika ovyo.
Soma na hii

 
Wapumbavu wakigundua Kenya itafaidika zaidi kule Rwanda wanaweza hata kusitusha huu mradi., kama wanaweza choma vifaranga vya Mtanzania mwenzao kwa ajili alinunua Kenya, ni lipi wasiloweza kufanya?., Tanzania iko kwenye giza kuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
we want cargo business n we r getting it! we wanted pipeline from Uganda, we got it! N it seems we will get sgr too!
 
Upanga pekee yake inamalizana na Westland nilikua sijui

Sent using Jamii Forums mobile app
we unajua Westlands inavyotoshana kweli? the developments on that district are unmatched
here's just a small section

le mac.jpg
 
To help catapult our economy. We are big investors in EAC and we make more trade than you.(Kenya $38m, Uganda $22m, Tz $16m!), according to the recently released report by EAC secretariat. So when you develop your infrastructure it will be for our good!

"..However, the reports note that Kenya gains the most from trade within EAC... $38m..." reads the news

Check it out to verify., wewe ni jasusi wa CCM.,
we want cargo business n we r getting it! we wanted pipeline from Uganda, we got it! N it seems we will get sgr too!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
we want cargo business n we r getting it! we wanted pipeline from Uganda, we got it! N it seems we will get sgr too!
It's not like you had a mega-strategy in place. UG avoided the Kenyan route because of expensive land compensations. Kwa reli don't forget it's already your business on road. You're only shifting the mode of transportation.
 
To help catapult our economy. We are big investors in EAC and we make more trade than you.(Kenya $38m, Uganda $22m, Tz $16m!), according to the recently released report by EAC secretariat. So when you develop your infrastructure it will be for our good!

"..However, the reports note that Kenya gains the most from trade within EAC... $38m..." reads the news

Check it out to verify., wewe ni jasusi wa CCM.,

Sent using Jamii Forums mobile app
Funny thing is that a bulk of Uganda's trade is from Kenyan manufacturers who are avoiding Kenyan tax
 
It's not like you had a mega-strategy in place. UG avoided the Kenyan route because of expensive land compensations. Kwa reli don't forget it's already your business on road. You're only shifting the mode of transportation.
Plus security and Tanga port being protected from seasonal interruptive Monsoon winds! Total EA considered those economic factors on their pick of Tanzanian route! Now if over $10 bln refinery, another $200mln roads n $300mln international airport r being built in Hoima aside pipeline, will it click in ur mind of lucrative chances of an SGR line from Keza to Lake Albert region the future of prosperous Uganda knowing massive nickel deposits sits idle at Kabanga in Kagera without rail to the ports of Tanzania?

JPM knows that, a reason he doesn't give an inch of chance for Malaba-Kampala. He knows efficient Mwanza-Port bell link will discourage Malaba-Kampala link. With his massive investments in wagon ferries n Mwanza port modernization he is already managed to persuade Kenya reverting into Kisumu-Port Bell project a weaker link. Let the map below open ur mind!

Isaka-Kigali-railway-Rwanda-Tanzania.jpg
 
Back
Top Bottom