Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jifariji, hamfikii hata 0.001% ya nchi zilizoendelea kwa huo uzalishaji., ilhali zinapitia changa moto, wewe unalazimisha mambo, Lupita alisema "dreams are valid" endelea kuota.

Sent using Jamii Forums mobile app
unachoambiwa ndiyo ukweli.........mziki unakuja. ..utaendelea kutumbua macho hapa na mwisho wa siku povu lako litakuisha na utaamua kutafuta sababu upande mwingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashuku ndio wanawasha moto kati ya Uganda na Rwanda kama vile wanafanya Somalia ili tufungiwe bahari. Kutamani sana biashara ya port inawafanya hadi kutumia pesa za ndani kujenga reli ilhali wananyima wanabiashara hizo pesa which ultimately constricts the economy.
unazungumza vitu usivyovijua......pole sana hatuna roho na mindset ya watu kama nyie mkipata madaraka ya kuongoza nchi huwa mnavuruga taifa kwa kumezesha wananchi matope ...pole sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thought they weren't corrupt.....hehe
Screenshot_20191215-105524_Lite.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Plus security and Tanga port being protected from seasonal interruptive Monsoon winds! Total EA considered those economic factors on their pick of Tanzanian route! Now if over $10 bln refinery, another $200mln roads n $300mln international airport r being built in Hoima aside pipeline, will it click in ur mind of lucrative chances of an SGR line from Keza to Lake Albert region the future of prosperous Uganda knowing massive nickel deposits sits idle at Kabanga in Kagera without rail to the ports of Tanzania?

JPM knows that, a reason he doesn't give an inch of chance for Malaba-Kampala. He knows efficient Mwanza-Port bell link will discourage Malaba-Kampala link. With his massive investments in wagon ferries n Mwanza port modernization he is already managed to persuade Kenya reverting into Kisumu-Port Bell project a weaker link. Let the map below open ur mind!

Isaka-Kigali-railway-Rwanda-Tanzania.jpg
talk of nickel and other minerals making your SGR attractive but si kitu kingine. Juu the government can subsidize even passenger travel and imports since exports za minerals are very profitable. It was a losing fight from the beginning that's why it's even tricky for China to offer loans to either Kenya or UG to service the landlocked countries. Ukiangalia hiyo map waona it's not in anyway efficient for Rwanda and Burundi to use Mombasa
 
Back
Top Bottom