Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sio newyork hapa ni dar😂😂😂
IMG_20191210_125900.jpg
IMG_20191210_125851.jpg
 
Awa jamaa siwaelewagi wanajiona wana akili kuliko waafrika wote lakini wanasahau kuwa basic needs ndio muhimu kwanza kabla kujenga nchi.
Hata hio nchi waliojenga iko wapi?? 😂😂😂 na hapo walijitenga na Africa wenzao hawakusaidia ukombozi wowote wa Africa wakajikita wao kama wao kwenye ubinafsi lakini leo angalia Mungu alivo wa ajabu hawana chochote mbele zaidi ya ushuzi wa bata
 
Unaleta picha ya miaka ishirini iliyopita
So unaniambia hayo majengo yote yamebomolewa😂😂😂😂😂
UAP imemalizika ujenzi 2015 na kwenye picha hio inaonekana ujenzi unaendelea😀😀😀
Screenshot_20191210-131708_Chrome.jpg
 
Yani Tanzania waige mambo Kenya kwa life style gani ??😂😂😂 mm hua nashangaa kwann manzi wa kikenya wanawapenda sana watanzania hua sijui kwann
Unashangaa manzi uache kushangaa kwa normal citizens wa Tzn hasa arusha na Tarime kupenda waonekane wakenya kuanzia kuiga kichwahili cha kikenya na kujitambulisha,pole broo
 
Kuna shida ya kureview terms za deal? ama wewe ukiona tu SGR na China unaanza sherehe?
Yani hamuna ujanja tena hapo mchina kawashika pabaya sana trust me 😂😂😂😂 na hili mukubali mukatae kenyatta nchi imemfia mkononi
 
Arusha is near Nairobi/Kenya ko mambo mengi wanaiga Kenya kuanzia life style hadi kuwa aggressive in life issues
Mkikosa sababu ndio huwa mnasema hivyo. Wakenya ni wachafu, wanye wivu, wakabila, wana kiswahili kibaya as f, wanawake na wanaume wote wanatongozeka kirahisi (kama mlivyofanyiwa na China) ambazo hizi features zote hazipo Arusha. Acha bangi unazokula.
 
Back
Top Bottom