ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Alaf mwisho wa siku team ina miaka 50 haina maendeleo haina hata banda la choo 😀😀😀😀😀Na bado ki mpira wako vizuri, wakiipata simba wanaigaragaza vibaya sana![]()
Alaf mwisho wa siku team ina miaka 50 haina maendeleo haina hata banda la choo 😀😀😀😀😀Na bado ki mpira wako vizuri, wakiipata simba wanaigaragaza vibaya sana![]()
Kama arusha tu hapoSasa niambie hio pic imepigwa umbali gani unaujua?????😀😀😀😀😀😀
Ona hii hehheheheView attachment 1287466
Hakuna kama kariakoo hapa Africa, na wanaikubali kimoyomoyo
Still bado wakiipata simba wanaipanda watakavyoAlaf mwisho wa siku team ina miaka 50 haina maendeleo haina hata banda la choo![]()


Compare na hii


ai jamani
Mbna unateseka sana wakati uhalisia huu hapa


Simba wanajenga uwanja mkubwa wa kisasa sasa hviStill bado wakiipata simba wanaipanda watakavyo![]()
Ahahhaha yani hii picha nimecheka sana😂😂😂😂
😂😂😂😂😂👇👇👇👇
Sioni westlands na Upperhill hapo🤔 Ile yenu imecover kila kitu, your 'dream houses' ,the three blue towers and the other 3- floor rusty buildingsAhahhaha yani hii picha nimecheka sana😂😂😂😂View attachment 1287533
Post picha unayotaka kujua alaf ntakwambia usijal kwa hilo😂😂😂😂😂Nitapanic ukiniletea majina ya hyo mitaa![]()
Haya nioneshe upanga, nioneshe kijitonyama nioneshe mbezi nioneshe mikocheni nioneshe masaki na oyesterbay nioneshe msasani etc😂😂😂😂😂😂😂Sioni westlands na Upperhill hapo🤔 Ile yenu imecover kila kitu, your 'dream houses' ,the three blue towers and the other 3- floor rusty buildings
Inakaa Bomu ilinusa hapo😂😂 Eastlands afadhali hata
Kariakoo inameza eastland inameza westland inameza na upper hill combinedInakaa Bomu ilinusa hapo😂😂 Eastlands afadhali hata