Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umewezwa! Si unyamaze tu! Sio lazima useme!! Hahahaha!
ikulu yenu yakizembe sana huwezi linganisha na hii yetu....ikulu ya tanzania ni jumba zuri la mfalme ikulu yenu ya kenya ni nyumba muundo wa dispensary yakipuuzi sana...
 
town.jpg

Kenyatta Avenue
 
Foleni zinaboa sana,au imekua kitu cha kujivunia?

Hua nashuhudia foleni kutoka mbezi hadi mwenge usawa wa km 3 hv apa Dar, zinapoteza muda na fedha tu
Mambo yanapangwa hapa Nairobi kutoa hizo foleni kwa miaka mbili ijayao
 
Mambo yanapangwa hapa Nairobi kutoa hizo foleni kwa miaka mbili ijayao
Huwez kumaliza foleni kamwe,foleni iwe inasogea tu,watu wanazidi kuagiza magari,madereva wengine wazembe mno ,barabara Ni zile zile kumbuka,apa mjn kwa upande wa BRT walicheza vyema sijui mko na mpango gani hasa upande wa buses

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Tanzanian state house
a3adbf2186bb4c9533262f0013ef8d73.jpg

Kenyan statehouse
91d10ca089500a82aad8f12bc34cf8dc.jpg

Mwachage arguments za kipuuzi wasee
unapoambiwa ikulu ya tanzania ni kubwa kuliko ya kenya achaga ubishi wa kijinga.....mzee wa iphone hiyo yote unayoiona ni ikulu na bado sehemu nyingine hatujakuonyesha na hayo majengo unayoyaona yameshikana ....hako kaikulu cha kenya ni kadogo mnoo...
3800a1235800529cbd5a9376be6b3ee8.jpg
 
Back
Top Bottom