Edward Wanjala
JF-Expert Member
- Nov 3, 2016
- 8,122
- 6,429
The lit beast in the sky: UAP Nairobi
hiyo yenu ya kenya ni ikulu ama dispencary.....ha ha haaaAcha Ushamba, Tanzania hawajui kujenga white house! This is the conventional statehouse architecture! Not inheriting a mosque to be a statehouse!!
Check out!
USA
View attachment 513901
Uganda
View attachment 513900
South Africa
View attachment 513899
Kenya
![]()

Umewezwa! Si unyamaze tu! Sio lazima useme!! Hahahaha!hiyo yenu ya kenya ni ikulu ama dispencary.....ha ha haaa![]()
![]()
![]()
![]()
Humo kuna dawa ya upumbavuhiyo yenu ya kenya ni ikulu ama dispencary.....ha ha haaa![]()
![]()
![]()
![]()
Kama dispensary ya kolomijehiyo yenu ya kenya ni ikulu ama dispencary.....ha ha haaa![]()
![]()
![]()
![]()

Tanzania state houseUmewezwa! Si unyamaze tu! Sio lazima useme!! Hahahaha!
Kwanza status ya jina lako lishatujulisha kua wewe ni mtu wa aina gani......@ punda ya ngamia.Jameni hii mada nitaichapa kwa kuwaambia muangalie hii address kwa mtandao
Ebu tafadhalli elekea hapa...
Nairobi Photos (kenya): A Beautiful East African City - Travel - Nigeria
Ukipigwa na butaa pole mwananchi mwenzangu
Sasa matusi ya Nini jameni?Kwanza status ya jina lako lishatujulisha kua wewe ni mtu wa aina gani......@ punda ya ngamia.
Nonsense
Sijakutukana na hakuna tusi hapo labda unalingineSasa matusi ya Nini jameni?
Hayo maoni yako wewe lakin ukweli wa mambo upo hadharani na adabu sasa imeshapatikana na huu ulikua mwanzo wa miaka 10 tu sasa kazi ndio imeanza bado mapema asbuhi...kaa mkao wakulaHakuna haja ya matusi na wivu jameni. Hizi jiji ni zetu wa-afrika wa mashariki. Walakin Kama umeshazuru hizi nchi mbili utajua Nairobi iko mbele kuliko Dar. Hiyo ni ukweli. Hakuna haja ya aibu....Dar itakuja labda kupita Nairobi siku za usoni.
Kile Dar imepita Nairobi nayo ni undugu na kukosa ukabila. Pia chakula ni tamu Sana Dar. Asanteni
lol...Nairobi iko mbele kuliko Dar. Hiyo ni ukweli. Hakuna haja ya aibu....