Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Maandalizi ya fiesta dar
IMG_20191206_145544.jpg
 
jamaa wana kila kitu! wanashindwa nn kuongoza ligi home na kuchukua makombe ligi za Afrika?
Azam walianza vizuri ila waliamua kuendesha timu yao kwa low budget baada ya kugundua kuwa ligi ya tz haina thamani inayoendana na uwekezaji wao,akapewa timu mhindi mmoja hivi yaani huyo anawachukulia wachezaji kama wafanyakazi wa godown
 
Dah yani hii nchi inaskitisha sana haipiti mwaka haipiti miezi 6 lazma usikie gorofa limedondoka






LOL mimi nimezaliwa Arusha yaani my whole life najua estate ni bigger property with mansion sababu ya Arusha kukaliwa na wazungu kipindi cha ukoloni walikua wameacha estates nyingi sana mpaka leo zipo

Cha kushangaza kuja hapa jf nakutana na hizi takataka zinazoporomoka hovyo eti ndio wanaziita estates lol


Nijuavyo mimi Estate ni kitu kama hiki
326961-680x365_c.jpeg
 
Wakenya Acheni kuita hizi takataka Estates hizi ni slums hakuna Estate hapa bali mlundikano wa takataka
2210012_Malindi20town20is20the20second20largest20coastal20town20of20Kenya2C20with20two20...jpeg



Estate ni kitu kama hiki
326961-680x365_c.jpeg




estate

/ɪˈsteɪt,ɛˈsteɪt/

noun

1.

an extensive area of land in the country, usually with a large house, owned by one person, family, or organization.


2.

all the money and property owned by a particular person, especially at death.

"in his will, he divided his estate between his wife and daughter"
 
We dogo inaonekana hata shule hukuenda katu
Dar es salaam ina maji ya chumvi kiasili,tangu lini mamba akakaa katika maji ya chumvi..Dar yote huwezi kumkuta mamba,labda kuanzia mikoa ya iringa na kuendelea huko,usijidhalilishe Mr.natural calamities
Hata mimi Sijawahi ona mto yenye maji ya chumvi. Dar is the only place in the entire world that has salty rivers
 
Leo ndo unalitambua hili..!!!
Ila mafuriko ya nairobi ni next level aiseee
Next Level ni hii hapa
floods2.jpg
Floods+pic.jpg
images (81).jpeg
dar_floods.jpg

Niletee picha ya Mafuriko Nairobi ambayo maji imenyonga nyumba hadi kooni hivyo haipati nafasi ya kupumua
 
Back
Top Bottom