Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huyo ni mbishi hadi huwa anasahau kuwa anabishania nini Ukiwaambia wathibitishe kitu hapo ndio umewakimbiza kabisa
Msaidie mwenzako kukubali km mombasa kuna old town...au umpe hata ushauri basi huenda akakubali
 
Msaidie mwenzako kukubali km mombasa kuna old town...au umpe hata ushauri basi huenda akakubali
Ungekuwa na maana ingekuwa umeshathibitisha saa nyingi alichokuambia ila kwa sababu wewe ni mbishi by nature umebaki kuruka ruka hapo.
 
Below poverty line 2018

Tanzania 26%
Kenya 46%

Kuna watu walikua wanabisha humu ndani

tapatalk_1575628320678.jpeg
 


With that and no significant economic value., GDP ya Dar ni ngapi?., weka aerial view nicheke tena.

Most skyscrapers in Dar are not even five years old so of course you won't see any "significant" economic value now. From hotels to offices to residential buildings, construction is vital for the Dar economy. Halafu, buildings pekee sio determinant ya uchumi. Kuna vitu vingine vingi, umeangalia usafiri? Kwasababu ya traffic, Dar hupoteza mabilioni kila mwaka. Na pia, Dar uwekezaji haukuwa mkubwa kama nairobi lakini kuna matumaini haswa kwenye uwekezaji na infrastructure. New airport terminal, BRT phase 2, SGR, Commuter rail, new hotels, new malls, real estate development....Give Dar five more years and then get back to me.
 
Onesha ulichoambiwa juzi ikikuwa tu hivi nilipowaambia wewe na yule mbu mbu mbu mwenzio mthibitishe mto gani una mamba Dar.
Unateseka sio...km hutaki kukubali bora ukatulie tu, huenda mwenzako aka kubali...
 
Back
Top Bottom