ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Nilijua huwez kuipata na hutaipata 😀😀😀😀Imekuingia...
Post tena na ile ingine uongezeee![]()
Nilijua huwez kuipata na hutaipata 😀😀😀😀Imekuingia...
Post tena na ile ingine uongezeee![]()
Wana miundombinu bora, lakini hawana wachezaji wa kuwawezesha kuchukua makombe.jamaa wana kila kitu! wanashindwa nn kuongoza ligi home na kuchukua makombe ligi za Afrika?
Failed state hiyoHivi Wakenya magorofa yenu mnayolingia mnajengea kwa tope au!??
mbona yanaanguka kila siku!!! au wahandisi wenu ni failures
Jengeni vitu conc sio kila siku kuangusha nyumba
Kwhyo unapinga km hakuna old town, kubali kwanza banaNataka unioneshe new town ili nifunge account jamii forum sasa hvi


Tusubiri mwakani jombaNimewaona wakenya kule nailand forumm wakiomba ushauri wa jinsi ya kusavaivuuu kwenye slum iliyo jaa maji ,kumbe slum za nairobi zimekuwa kama makoko nigeria
Dah yani hii nchi inaskitisha sana haipiti mwaka haipiti miezi 6 lazma usikie gorofa limedondoka
Itakua ilikosewa hii 😀😀😀😀Haya ndo yale majengo ya uyoga wanapiga nayo kelele humu!
Kuna hili pia, kitu kimelala. .
![]()
Ndiyo mambo yote mwakani, tayari magorofa Kenya yameanza kuanguka ili kupisha tanzaniaTusubiri mwakani jomba
Ninachogombana na ww ndugu yako alisema new town Mombasa nimemwambia atuletee hapa mpaka leo haonekani akichangia tena😀😀😀 sasa umekuja ww umedandia treni kwa mbeleKwhyo unapinga km hakuna old town, kubali kwanza bana![]()
Kitu kinaendelea kupanda kama uyoga!Itakua ilikosewa hii 😀😀😀😀
Huyo ni mbishi hadi huwa anasahau kuwa anabishania nini 😂😂😂 Ukiwaambia wathibitishe kitu hapo ndio umewakimbiza kabisa 😂😂😂Ninachogombana na ww ndugu yako alisema new town Mombasa nimemwambia atuletee hapa mpaka leo haonekani akichangia tena😀😀😀 sasa umekuja ww umedandia treni kwa mbele
Mara shule zinaanguka, mara majengo, mara madaraja 😂😂😂Haya ndo yale majengo ya uyoga wanapiga nayo kelele humu!
Kuna hili pia, kitu kimelala. .
![]()
Heheeee!!kwhyo umekubali km kuna old townNinachogombana na ww ndugu yako alisema new town Mombasa nimemwambia atuletee hapa mpaka leo haonekani akichangia tenasasa umekuja ww umedandia treni kwa mbele




