Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dah yani hii nchi inaskitisha sana haipiti mwaka haipiti miezi 6 lazma usikie gorofa limedondoka






Haya ndo yale majengo ya uyoga wanapiga nayo kelele humu!

Kuna hili pia, kitu kimelala. .

2230084_4618267_sh3_jpegd0f7e2b7eecad6f8974a3218b635c918.jpeg
 
Kwhyo unapinga km hakuna old town, kubali kwanza bana
Ninachogombana na ww ndugu yako alisema new town Mombasa nimemwambia atuletee hapa mpaka leo haonekani akichangia tena😀😀😀 sasa umekuja ww umedandia treni kwa mbele
 
Ninachogombana na ww ndugu yako alisema new town Mombasa nimemwambia atuletee hapa mpaka leo haonekani akichangia tena😀😀😀 sasa umekuja ww umedandia treni kwa mbele
Huyo ni mbishi hadi huwa anasahau kuwa anabishania nini 😂😂😂 Ukiwaambia wathibitishe kitu hapo ndio umewakimbiza kabisa 😂😂😂
 
Ninachogombana na ww ndugu yako alisema new town Mombasa nimemwambia atuletee hapa mpaka leo haonekani akichangia tena sasa umekuja ww umedandia treni kwa mbele
Heheeee!!kwhyo umekubali km kuna old town
Kubali yaishe bana
 
Back
Top Bottom