Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Do that's a flat in Tanzanian standards?? Hivyo ndo mnafundishwa kwenye shule zenu? 😱 😱 😱
Maisha yenu ni magumu sana kiukweli, inasikitisha. Hayo mabati hivi wakati wa joto huwa mnaishije?
 
sio nairobi sasa.sijui unaelewa!!!

yaani ukitaja protoria let say,hiyo pretoria umeitaja na dar.hatuna pingamizi juu ya hii.
And that's my point. Maendeleo au ubora wa jiji au mji au hata nchi haupimwi na ukubwa wake. What you are doing (or have done) with the little or big space you have is the most important thing. So next time don't go quoting size here like it matters anyway!!
 
Kijana, if it's about the mall, hiyo sector hata wewe hapo unajua vizuri sana mnasoma number yetu. If it's about the BMW, I would just like to remind you that their biggest sales office in East Africa is in Nairobi

I only see proboxes in Nairobi roads,
Wewe unatumia gari gani?
 
Maisha yenu ni magumu sana kiukweli, inasikitisha. Hayo mabati hivi wakati wa joto huwa mnaishije?
Pole kaka Nairobi is a place of cool waters. Huku joto ni kama ndoto. Maybe you need to revisit your history books ujue chimbuko la jina "Nairobi" na maana yake. About maisha magumu, I can prove which people between Kenyans and Tanzanians are living a better life
 
And that's my point. Maendeleo au ubora wa jiji au mji au hata nchi haupimwi na ukubwa wake. What you are doing (or have done) with the little or big space you have is the most important thing. So next time don't go quoting size here like it matters anyway!!
tutaendelea since the battle is dar vs nairobi.

ikija dar vs NY hahaa hapa area size haiatafaa.
 
Pole kaka Nairobi is a place of cool waters. Huku joto ni kama ndoto. Maybe you need to revisit your history books ujue chimbuko la jina "Nairobi" na maana yake. About maisha magumu, I can prove which people between Kenyans and Tanzanians are living a better life
My dear, let me put you in a geography lesson. You live in a tropical savanna. Nairobi is of course cooler than Dar es salaam but it doesn't mean that the city is not hot sometimes. Tena wakati huu ni "summer" in Nairobi, it rains and yes, kuna heat. Mida ya June to August ndio kuna baridi. Kwa hiyo rudi darasani ukasome kabla hujabishana na mimi sawa? Halafu kuhusu quality of life, huwezi kuprove chochote kwangu. Kwa jitu ambalo halijawahi hata kufika Tanzania na mimi nimeshakaa sehemu zote mbili, TZ na KE, huwezi kunibishia chochote.
 
tutaendelea since the battle is dar vs nairobi.

ikija dar vs NY hahaa hapa area size haiatafaa.
Mimi sina shida kuendelea ila msiwe watu wa kutoa hoja na mihemko pasi kuwa na uelewa just because this is a battle.
 
My dear, let me put you in a geography lesson. You live in a tropical savanna. Nairobi is of course cooler than Dar es salaam but it doesn't mean that the city is not hot sometimes. Tena wakati huu ni "summer" in Nairobi, rains and yes, kuna heat. Mida ya June to August ndio kuna baridi. Kwa hiyo rudi darasani ukasome kabla hujabishana na mimi sawa? Halafu kuhusu quality of life, huwezi kuprove chochote kwangu. Kwa jitu ambalo halijawahi hata kufika Tanzania na mimi nimeshakaa sehemu zote mbili. TZ na KE, huwezi kunibishia chochote.
Then how do you want me to engage you if you already "know" me that much and even have a formed opinion about me? Why are you being in the defensive? Back to Nairobi, yes, it sometimes get hot (it even gets hot in Europe which is one of the coldest continents) so there's no exception about that. I would just like to remind you that I told you to revisit your history books (not geography books like you've done here). You must be very poor in following simple instructions. Don't remind me of something that I already know. I live in Nairobi and I know that it sometimes gets a little hotter. That is not to say that nairobi is hot.
 
metropolitan City ni eneo ambalo lipo widely developed yaani hakuna tofauti kubwa Sana kutoka cbd na maeneo ya pembezoni mwa mji

Check hii ni zaidi ya 20 kilometres away from Dar cbd, the way hili eneo lipo more developed hata Nairobi 25 kilometres away from cbd hapapo developed kama hapa

Mi #tags zao zinaniua sana #tunatekeleza, #tumeamua na sasa #tuelewane.

Safi sana.
 
Then how do you want me to engage you if you already "know" me that much and even have a formed opinion about me? Why are you being in the defensive? Back to Nairobi, yes, it sometimes get hot (it even gets hot in Europe which is one of the coldest continents) so there's no exception about that. I would just like to remind you that I told you to revisit your history books (not geography books like you've done here). You must be very poor in following simple instructions. Don't remind of something that I already know. I live in Nairobi and I know that it sometimes get a little hotter. That is not to say that nairobi is hot.
Eti it gets a little hotter, can I please remind you that I have lived in Washington state na hii cold weather ya nairobi kule ni kama summer tu. If you have been to Tanzania then say it ili tuone credibility ya information unayotupa hapa. Kawadanganye bweha wenzako sio mimi
 
Eti it gets a little hotter, can I please remind you that I have lived in Washington state na hii cold weather ya nairobi kule ni kama summer tu. If you have been to Tanzania then say it ili tuone credibility ya information unayotupa hapa. Kawadanganye bweha wenzako sio mimi
Wacha kulazimisha vitu wewe
 
And that's my point. Maendeleo au ubora wa jiji au mji au hata nchi haupimwi na ukubwa wake. What you are doing (or have done) with the little or big space you have is the most important thing. So next time don't go quoting size here like it matters anyway!!
Usipoteze mada ww cc tunaongelea kivyote kiukubwa na hata kimaendeleo dar iko far away from Nairoba
 
Kitu wadanganyika wengi hawajui nikua wakaazi wengi Wa Nairobi wanaishi kwenye apartments,do you know an eight story apartment can handle more than two hundred people here in Nairobi?.... That's why tunawambia Dar ni one big slum village.Yani 40% of Dar ni slum...55% ni vegetation/forest na 5% ni cbd,masaki,oustbay....etc
Duh kwahyo ukubwa wa nairobi nzima kuchanganya na maapori ni sawa na kaeneo kadgo tu kaliikojengeka hapa dar,, which means kaeneo kalikojengeka nairobi ni robo ya eneo lililojengeka hapa dar, which also means Nairobi ilojeengeka yote ni ukubwa wa kutoka tegeta kwa waashua adi apa mikocheni? So kumbe haina haja ya kulinganisha dar na nairobi inabid wwachukue kisumu plus mombasa plus nairobi ndo wamatch up na dar city.. LOL Poor kenyans
 
Back
Top Bottom