babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 13,307
- 35,736
Kwa hiyo twitter sio source? vijana kibao hawajalipwa na huo ndio ukweli punguza ubishi au nenda kabishane nao pale twitter wakupe za uso,Kipi ambacho hukukielewa hapo...
Heheee!!siku hizi twitter ndio source[emoji23][emoji23]
We wachezea media zetu..kitu kingelipeprushwa hewani na mpka watu kohojiwa...wafikiria hku ni kw magu watu wasilipwe halafu media zisifanye yake
Alafu unasema media zenu zinafanya kazi, embu tuambie ile video ya citizen Inayohusu KQ yenu iliopakiwa jana youtube imeenda wapi 😂😂😂