Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,919
- 103,791
Soma content iliowekwa hapo😁😁😁Who is Mila?
Hawawezi kumpenda magu maisha yao yote

wakenya maskini wanatia huruma

‘Tanzanian shilling among Africa’s most stable currencies’...>>>‘Tanzanian shilling among Africa’s most stable currencies’ Daily News Online on Twitter
‘Tanzanian shilling among Africa’s most stable currencies’...>>>‘Tanzanian shilling among Africa’s most stable currencies’ Daily News Online on Twitter
Haya sasa Twende kwenye nguvu ya kununua kitu,Stable at the bottom.
Ksh 1 = Tsh 22
USD 1 = Tsh 2,302
Haya sasa Twende kwenye nguvu ya kununua kitu,
Ksh 22 inaweza kununua nini hapo?
Airtime kiasi gani?Ksh 22 unanua airime halafu unabaki na change
It's not a bad thing kwa currency kuwa undervalued. Bwana wenu China anashusha thamani ya Yuan deliberately kufanya exports zake ziwe cheap kwenye global market na ndio maana Marekani iko kwenye trade war na China. Our currency is stable, haifluctuate na hivyo inflation kwetu tunasikia tu kwenye taarifa ya habari na hata hii hali ni nzuri kwa trade.Stable at the bottom.
Ksh 1 = Tsh 22
USD 1 = Tsh 2,302
Nimempa mifano hapo juu ya nguvu ya tsh 2300.It's not a bad thing kwa currency kuwa undervalued. Bwana wenu China anashusha thamani ya Yuan deliberately kufanya exports zake ziwe cheap kwenye global market na ndio maana Marekani iko kwenye trade war na China. Our currency is stable, haifluctuate na hivyo inflation kwetu tunasikia tu kwenye taarifa ya habari na hata hii hali ni nzuri kwa trade.
Airtime kiasi gani?
Tsh 2300 inaweza fanya mambo mengi,
2300 naweza nunua bundles kibao
2300 naweza kula kwa mama ntilie nikala nikashiba na chenchi ikabaki,
2300 yaani ni mambo kibao.