tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Bado kabisaNairobi is the only true city in east and central Africa
View attachment 511231
Bado kabisaNairobi is the only true city in east and central Africa
View attachment 511231
ona city inavyoonekana kwa chini ya hilo jengo ni upuuzi vijengo vya kizee ....sehemu ya city ni ndogo....sana
mnakuja hapa nairobi nairobi wakati ni ovyo ovyo

ha haa mwenyew nasikia tu kutika kwa COLLO ujue jamaa kapagawa sana na maishaIphone 7 Nasikia ilitoka Kenya pekee
Hahaha

wanazingua sasa hivi yule chizi wakikenya MK254 amekuja na takwimu zake za vichochoroni anakuambia jeshi bora ukanda wa africa mashariki ni la kwao kdf ikifuatiwa na uganda nikacheka sana...KDF wenyewe wezi
Utashangaa huyo Kapuku!!

mbaya sana kama mwaka 1979 bwana jiji gani hiloNairobi is the only true city in east and central Africa
View attachment 511231
Maneno ya mkosajiDar kuna nini nzuri kama si bahari....
infrastructure mbovu than Kampala ata
jidanganye.....dar ni balaa usifananishe na kauchafu kanairobiDar kuna nini nzuri kama si bahari....
infrastructure mbovu than Kampala ata

njoo upaone .....kama kupo hvyo.......si kila sehemu ipo unplanned hata uko kwenu nairobi a.k.a sehemu yawakimbizi kuna sehemu kibao ni unplannedMji Uko unplanned 100%..ndio mnasema "jiji"

1979 dar ilikua na fly over...2017 wakazingoa amambaya sana kama mwaka 1979 bwana jiji gani hilo
Hili jengo linawauma kweli. Najua liliwanyang'anya your short-lived glory but msitie Shaka, jiji sii urefu wa majengo ila uzuri wa mazingira Na miundombinu.
Kibera is being upgraded what is your government doing to reduce 70% slumView attachment 511263 View attachment 511264
Such a good miundombinu in Kibera. And a very Good looking Saloon😵
Kitu cha hell icho, eti nairobi,niuchafu mtupuKibera is being upgraded what is your government doing to reduce 70% slum![]()
nilikwambia hayo majengo yako pembeni ya kibera yamejengwa mwaka gani hutaki kunijibu???????Kibera is being upgraded what is your government doing to reduce 70% slum![]()
Hii ya zamani sana kabla ata viva tower halijawa tayarbongo
![]()
duuh....ww kumbe upo nilijua umekufa...1979 dar ilikua na fly over...2017 wakazingoa ama

mbona unaziweka picha zenu kweli umepagawa dar hatuna ardhi yenye huo udongo mwekunduKibera is being upgraded what is your government doing to reduce 70% slum![]()