Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzania pia hakuna billionaire..afikishe kwanza billion ya kuwait dinar ndio nimkubali...(the strongest currency in the world)

Africa billionaire ni dangote bana...manake kila utakapo badilisha mali yake katika currency yyte hapa duniani bado anabaki kw billion
Hakuna billionaire kenya kuna upuuzi,billionaire hata USD 1 billion hana, sasa huyo ni billionaire uchwara
 
Umeumia sio...ya nn unganganie twende na dollar, wakati kuna hela yenye thamani sana kuliko zote duniani...
Mbna unajichanganya
Najua wakenya weeengi ni vilaza,lakini huyu komora ni too much,amepita hadi kwenye ukilaza
 
Basi tutumie the strongest currency in the world..manake km ulivyosema tunashindanisha nchi mbali mbali...hvyo basi itakua rahisi...
Mtu akiwa billionaire kuwait basi ujue popote pale duniani ni billionaire...kitu rahisi tu, nynyi mnashindwa kukielewa
We Pimbi kuna bilionea Kwa kipimo cha usa $ kipimo cha £ kipimo cha Ksh kipimo cha tsh no Kwa hiyo unapo zungumzia bilionea Kwa kushindanisha nchi mbalimbali ni lazima utumie value moja ya hela kama USA dollars
 
Hyo pesa kwn ni ya serekali...jamaa wameamua kujenga utaanza kuwapangia tena...mbna huaga mnajitoa ufahmu hv..wakati mwngine km huja comment kitu fanya research kwanza
Uwezo wenu wa kubuni miradi kwa kupanga " priorities " ni mdogo sana. Ona sasa hivi mnaanza kujenga barabara ya juu toka Airport kwa pesa ambayo ingetosha kujenga " BRT lanes" zote za Nairobi. Kwanini msitumie hiyo pesa kujenga " special lanes za BRT mji mzima hadi huko JKIA kama tatizo ni foleni?
 
Nixie gave you an example of London with vegetative cover and that was the simple essential part for you to understand, so simple and direct comment,is that too hard for you?...do you have to go to school to understand?..what the **** is wrong with you?,why are you acting a fool?..some things are so basic that even your late retarded grandma would have understood..please grow up and debate like you know even if you dont!!..dont expose your idiosyncrasy.
Achana na huyo ng'ombe
 
and 99% of all the Cars in Your roads are used imported from Japan.
What a wastage, Pale Mombasa Road kuna assembly plant ya Hino with vehicles rotting in rusts.
How many do you make locally for yourselves?
 
Acha utoto read between the lines pyumb* wee
Nixie gave you an example of London with vegetative cover and that was the simple essential part for you to understand, so simple and direct comment,is that too hard for you?...do you have to go to school to understand?..what the **** is wrong with you?,why are you acting a fool?..some things are so basic that even your late retarded grandma would have understood..please grow up and debate like you know even if you dont!!..dont expose your idiosyncrasy.
 
Heeh kwel nyie walevi aysee ushakataa sentensi mlizotoa apa kwmb kwenu kuna mabilionea by the way who are u ukatae stats za Forbes kwmb Tz kuna billionaire
Tanzania pia hakuna billionaire..afikishe kwanza billion ya kuwait dinar ndio nimkubali...(the strongest currency in the world)

Africa billionaire ni dangote bana...manake kila utakapo badilisha mali yake katika currency yyte hapa duniani bado anabaki kw billion
 
Billion ya kenya ulaya unapeta tena vizuri sana...sijui kw pesa zenu za madafu
Huwezi kupeta ulaya na makaratasi yako ya kenya au tz,lazima tuyabadili kwanza.ndipo ujue umebeba pesa au uchafu.

Hiyo bilioni ya kenya ukiirudisha katika $ ni 10,000k,na ya tz ukiipeleka katika $ ni 500k.sasa ili tusivuruge mambo nani ni nani.

Weka pesa zako reserve kwa $.then tutapimania hapo.
 
Modern cities across the world are focusing on creating a balance between beautiful skylines and lush green spaces and that's what Nairobi is trying to achieve which also explains why Nairobi has more and bigger recreational parks than Dar. But because you are a bongolala, you can't see that. Wewe ulichoona ni pori 😂 😂. A city is not just about building tall skyscrapers alone.
Look at these image of London below. Maybe you'll understand what am trying to say
Miji ya pwani huwa ina fukwe kama sehemu za kupumzikia. Miji kama London/Nairobi haina vitu hivyo.
 
Tuwekane sawa hapa je kuna ukweli wowote
Screenshot_2019-10-19-23-56-44.jpeg
 
Back
Top Bottom