Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,298
- 33,624
Kunyaland miradi kama hii inafanyika nairobbery tu
Kunyaland miradi kama hii inafanyika nairobbery tu
Aibu yao nyingine kulala kwenye nyumba za mabati in 21 century,hawa jamaa ni wa ajabu sanaNyie ndio wa kuona aibu kupewa misaada ya chakula karne hiisio upuuzi uliouandika hapa.
Huwezi kupeta ulaya na makaratasi yako ya kenya au tz,lazima tuyabadili kwanza.ndipo ujue umebeba pesa au uchafu.
Hiyo bilioni ya kenya ukiirudisha katika $ ni 10,000k,na ya tz ukiipeleka katika $ ni 500k.sasa ili tusivuruge mambo nani ni nani.
Weka pesa zako reserve kwa $.then tutapimania hapo.
Heeh kwel nyie walevi aysee ushakataa sentensi mlizotoa apa kwmb kwenu kuna mabilionea by the way who are u ukatae stats za Forbes kwmb Tz kuna billionaire
That's shallow reasoning and way of looking at things. There are so many coastal cities that have lots of vegetative coverMiji ya pwani huwa ina fukwe kama sehemu za kupumzikia. Miji kama London/Nairobi haina vitu hivyo.
Tatizo lako wewe umekulia bara (country, as we call it here) hivyo huwezi elewa.That's shallow reasoning and way of looking at things. There are so many coastal cities that have lots of vegetative cover
Maneno ya mkosaji hayoTatizo lako wewe umekulia bara (country, as we call it here) hivyo huwezi elewa.
And what is "pyumb*"?...I apologize for this but i dont debate people on crack!!!..get yourself a therapist or a doctors prescriptions,however,downloading your emotions and exposing that you are a retard won't help your insanity.Acha utoto read between the lines pyumb* wee
Kuna sababu za kimsingi, mtasema nini tukiweka? ulidhani Kibaki na maarifa yake yote ya economics hakujua hivyo akijenga Thika road? wakati tuna capacity ya kutengeza buses locally?
Sipati picha hizo nyumba za mabati wakati wa jua kali 😂😂😂Aibu yao nyingine kulala kwenye nyumba za mabati in 21 century,hawa jamaa ni wa ajabu sana
Usije sema ndio maana hamna tajiri bilionea,maana ndiko unaelekea na kichwa yako empty.Sema tu ksh 1b ni $10m..unaogopa nn...
Narudia tena, billion moja ya kenya ukienda ulaya unapeta nayo...wacha kuruka ruka hapa na eti sijui kubadilisha pesa...kwn hata ukiibadilisha bado si zile pesa zitakua zimetokana na ile billion yako
We wachezea billion moja ya kenya..
Usije sema ndio maana hamna tajiri bilionea,maana ndiko unaelekea na kichwa yako empty.
Kweli ni upuuzi kujisifu una bilioni kwenye currency ya madafu. Pesa gani 500 shs ipo kwenye coin. Nasikia wana mpango wa kutengeneza coin ya shs 50k. Ila nje ya mada kidogo nakuomba basi unisaidie hata milioni moja tu ya pesa za madafu maana jirani yako nimekwama hapa baada ya kutumbuliwa na uncle Magu.Heheee!!billion ya madafu ni upuuzi tu...
Mambo mwaaaa
Sasa kama vifaa vyote anamiliki barrick wewe unadhani kama ni hisa utapata ngapi au mnataka kusema nyinyi mnachukua asilimia ngapi ya mafuta.Of which your country will only remain with 16% while Barrick takes home 84%