Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Na ndicho tunachosema hapa ss hawa monkeys wanaleta hbr za ksh ingekuwa hvyo bac uku kwetu tungekuwa nao wengi kila mtaa mana ivyo viela wanaviita vya mboga au vijisenti
Na tungewazidi wao idadi,maana tuna ikaribia bilioni kirahisi zaidi ya wao.hajui.
 
Afadhali wewe unalielewa hilo..mwenzio hko juu kasema kenya hakuna billionaire
We jinga mtu mwenye billion moja na kuendelea huyo si billionaire,huyo anabaki kuwa millionaire,hapa tuna-deal na over USD 1 billion.. shule ulienda kusomea ujinga ati kijana!
 
Azikiwe road dar es salaam
FB_IMG_1571427271789.jpeg
 
Khaaa...mtu mwenye billion moja si billionaire
Jesuuuu
We jinga mtu mwenye billion moja na kuendelea huyo si billionaire,huyo anabaki kuwa millionaire,hapa tuna-deal na over USD 1 billion.. shule ulienda kusomea ujinga ati kijana!
 
Back
Top Bottom