Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Studio ya clouds fm zenyewe zakueleza hakuna content wala pesa despite hao 17 million listeners. Audience yao ni watu washamba tu
Ingia Insta page ya Cloud's fm utaona studio zao mpya,
Ni washamba according to Watu wenye wivu kama wewe 😂😂😂
 
Over 115 private radio station in Kenya. Over 100 TV stations. Watupatie numbers za Tz. Wajinga hawa they can't see how no media enjoys monopoly like Clouds Radio and to an extension Clouds Media in Tz. They don't understand how listeners and viewers are distributed. yet despite all that, the local media remains wealthier
Bring evidence for those 100 TV stations! BTW Tanzania has over 123 licenced radio stations n 26 TV stations!


 
Inamaana huwezi hata soma kitu wewe mwenyewe umeleta kama thibitisho na ujue inamaanisha nini!? Na imeandikwa kwa kiswahili, lugha mnayoienzi!
Kweli Watanzania mko na shida shida si haba.
Taarifa uliyoleta ndio hii hapa

View attachment 1228325
Sasa hebu thibitisha yale madai yako ya awali kwamba wakenya hawamiliki ardhi. Hapo sitoki leo
Issue kama hiyo wanafanyiwa wageni wanapewa kulingana na muda.mtz hawezi kodishiwa ardhi yake tafakari upya ndo uje na hoja nyingine
[/QUOTE]

Siku ya nyani kufa kila mti huteleza
Read again the circled part in blue


View attachment 1228356[/QUOTE]Nini hoja yako ya msingi hapo naona unabwabwaja tu
 
Samahani kaka, nimekosea kuwapatia hadhi ambayo haifai. Waliona ni aibu kuwaleta wageni wa kimataifa kwenye Dar-is-a-slum wakaona kuanza kwa ukurasa mpya pale center inaetwa Dodoma 🤣 🤣 🤣

Hii inakaa studio ya KTN 1990. Tushasonga, tushapita hapo. Unasahau the second largest Bureau ya BBC duniani iko Nairobi after London? wasahau HQ ya Startimes Africa iko Nairobi? hii ya Azam haifikii hata vernaculars (tier 2) kama akina Kameme na Inooro leave alone Ebru Africa
Nawaambia mnajisifia mamb ambayo sisi tumeona hadi tukachoka

View attachment 1228256

old K24 studios

View attachment 1228257View attachment 1228262

View attachment 1228266View attachment 1228268

You don’t Know Azam Media.
 
Shika bonus ingine. Ulizia Homeboyz, Vybez etc kabla ya kulinganisha vitu za 1990


View attachment 1228295

IMG_0180.JPG
 
Issue kama hiyo wanafanyiwa wageni wanapewa kulingana na muda.mtz hawezi kodishiwa ardhi yake tafakari upya ndo uje na hoja nyingine

Siku ya nyani kufa kila mti huteleza
Read again the circled part in blue


View attachment 1228356[/QUOTE]Nini hoja yako ya msingi hapo naona unabwabwaja tu
[/QUOTE]
Sasa unakataa wakati it's clearly written "Tanzanian nationals" Yani nyinyi mnapinga hadi vitu zimeandikwa in black and white! Kweli denial is just in your blood.
 
Issue kama hiyo wanafanyiwa wageni wanapewa kulingana na muda.mtz hawezi kodishiwa ardhi yake tafakari upya ndo uje na hoja nyingine

Siku ya nyani kufa kila mti huteleza
Read again the circled part in blue


View attachment 1228356[/QUOTE]Nini hoja yako ya msingi hapo naona unabwabwaja tu
[/QUOTE]


Kitu unapinga imeandikwa vizuri sana hapo so sijui ni macho Huna Ana tatizo lako ni lipi.
Hoja nyingine ni kwamba udhibitishe kwamba wakenya wengi hawana mamlaka ya kumiliki ardhi 😂 😂 😂
 
Wewe ni mbishi.
Umilikaji ardhi kimila ni ukodishaji ardhi???
Dah asee pole sana
Only that you can't prove anything, too bad. Wewe endelea kukodisha ardhi ndani ya nchi yako kama mtumwa
Inabidi watu kama ninyi ni wa kupuuza coz hamuelewi chochote kile
[/QUOTE]

Come on! You don't own land in Tanzania and this has been proven beyond any reasonable doubt here. The only thing you and your folks here own are two small balls hanging between your legs [/QUOTE]
 
Usiifananishe Tz na Kenya.
Ebu angalia taratibu za umilikaji ardhi halafu nifafanulie wap tunakodishiwa ardhi?


SURA YA PILI
MASUALA MUHIMU KATIKA SERA NA SHERIA ZA ARDHI NCHINI TANZANIA
SERA YA TAIFA YA ARDHI YA 1995
Sera hii inaweka kanuni za msingi zinazotawala mfumo mzima wa umiliki, usimamizi na matumizi ya ardhi nchini. Kanuni hizo ni pamoja na:-
· Kutambua kuwa ardhi yote ya Tanzania ni mali ya umma na kuwa imewekwa mikononi mwa Rais kama mdhamini kwa niaba ya raia wote.
· Kulipa fidia kamili, ya haki na kwa wakati kwa mtu yeyote ambaye haki miliki inafutwa matumizi yake.Pia kuwezesha ardhi kugawiwa kwa haki na kupatikana kwa raia wote
· Kuwawezesha raia wote kushiriki katika kutoa maamuzi ya mambo yanayohusiana na milki au matumizi yao ya ardhi.
· Haki ya kila mwanamke kupata,kumiliki,kutumia na kuuza au kuigawa ardhi kuwa sawa na haki ya mwanaume yeyote kwa viwango na masharti sawa
SHERIA ZA ARDHI ZA MWAKA 1999 NA SHERIA ZINGINE ZENYE MGUSO KATIKA ARDHI.
Maana ya ardhi
Ardhi ni ile inayojumuisha vitu vyote vilivyo juu na chini ya uso wa nchi vikiwemo majengo, uoto wa asili na maendelezo yote yaliyofanywa isipokuwa madini na bidhaa za mafuta na gesi.
Makundi ya ardhi
Ardhi imegawanyika katika makundi matatu ambayo ni:-
1. Ardhi ya kawaida/jumla: ni ardhi yote ya umma ambayo siyo ardhi ya hifadhi wala ardhi ya kijiji. Hata hivyo, kwa mujibu wa sheria ya ardhi Na.4,1999 inajumuisha ardhi ya kijiji ambayo haikaliwi wala kutumiwa na wanavijiji. Kamishna wa ardhi ndiye msimamizi wa kundi hili la ardhi.
2. Ardhi Hifadhi: ni ardhi iliyotengwa kwa shughuli maalumu kama vile hifadhi za misitu, barabara, vyanzo vya maji nk. Kundi hili liko chini ya usimamizi wa mamlaka mbalimbali za aina ya ardhi husika.
3. Ardhi ya Kijiji: hii ni ardhi iliyo ndani ya kijiji kilichosajiliwa na kubainishwa mipaka. Kwa mujibu wa sheria ya serikali za mitaa (Mamlaka za Wilaya), ya mwaka 1982 na kuwa chini ya usimamizi wa Halmashari ya Kijiji. Pia ardhi ya kijiji ni ardhi iliyotengwa chini ya sheria ya uundwaji wa vijiji,1965.Vilevile, ardhi ya kijiji ni ardhi ambayo si hifadhi, na kwa muda wa miaka kumi na miwili kabla ya sheria ya ardhi ya vijiji,Na.5 kutungwa, wanakijiji wamekuwa wanaikalia na kuitumia kama ardhi ya kijiji na pasipo kuwepo na aina yoyote ya umiliki au matumizi kabla au wakati wa ya kipindi hicho
MFUMO YA UMILIKAJI WA ARDHI
Kuna aina kuu mbili za umilikaji wa ardhi nchini Tanzania
· Umilikaji ardhi kimila: Huu ni utaratibu wa umilikaji ardhi kwa kufuata taratibu za kimila na desturi za jamii husika. Aina hii ya umiliki hutumika katika ardhi ya kijiji kama ilivyobainishwa katika sheria ya ardhi ya vijiji Na.5,1999
· Umilikaji ardhi kwa Hati: huu ni utaratibu wa hati unaotumika na kutolewa katika kundi la ardhi ya kawaida/jumla. Katika utaratibu huu mtu anaweza kumiliki ardhi kwa hati ya miaka 33, 66 au 99 na anakuwa na hadhi ya upangaji.
Upatikanaji wa Ardhi
Ardhi inaweza kupatikana kwa njia zifuatazo:-
i. Kurithi
ii. Kusafisha pori/eneo lisilo na mmiliki
iii. Kununua
iv. Kupewa zawadi
v. Kugawiwa na serikali
Mamlaka za usimamizi wa ardhi
1. Halmashauri ya Kijiji- Hii haimaanishi kuwa Halmashauri ya Kijiji ni mmiliki wa ardhi ya kijiji bali ni msimamizi tu na haina mamlaka ya kugawa ardhi au kutoa ruhusa ya kutumia ardhi kimila bila idhini ya mkutano mkuu wa kijiji.
2. Mkutano Mkuu wa Kijiji- ndicho chombo chenye madaraka ya juu kijijini juu ya masuala yote ya yakiwepo masuala ya ardhi kama vile kuthibitisha na kukubali au kukataa maombi ya ardhi ya kijiji.
3. Kamishna wa Ardhi- ndiye mtendaji na msimamizi mkuu wa makundi yote ya ardhi na amepewa majukumu ya kiushauri kwenye ardhi ya vijiji.


Usiponielewa hapo kwaheri.

Ila nasubiri jibu wapi kumeandikwa twakodisha ardhi ama kwa munajili upi mpaka unasema twakodisha ardhi??

Siku ya nyani kufa kila mti huteleza
Read again the circled part in blue


View attachment 1228356
Nini hoja yako ya msingi hapo naona unabwabwaja tu
[/QUOTE]


Kitu unapinga imeandikwa vizuri sana hapo so sijui ni macho Huna Ana tatizo lako ni lipi.
Hoja nyingine ni kwamba udhibitishe kwamba wakenya wengi hawana mamlaka ya kumiliki ardhi [/QUOTE]
 
Atarudi kivingine...
Hawatakagi kusikia ukweli hawa watu. Ukiwabana sana wanasepa kisha wanarudi "wakijihami" na matusi. Nakupa tu mda kidogo, atarudi hapa na matusi coz he can't and won't prove his points. They just can't handle the truth
 
Ukwel ni kwamba...mnakodi ardhi
Kulipia ardhi kodi ni kwa ajili ya maendeleo ya nchi yako ndo maana unakuta many things vinalipiwa kodi.issue ya ardhi kulipia kodi sio kwamba ardhi sio yako na hiyo sheria imeanza tu kipindi hiki cha miaka ya 1990s Thibitisha kauli yako kama ardhi ya dar au tz n ya ccm au ndo unaropoka pumba zako husizozijua.


Yaan unataka kulinganisha wanachofanyiwa kenya ni sawa na tz.in tz kl raia ana haki ya kumiliki ardhi na akajenga nyumba yake.


Na hata hivyo tuna shirika la nyumba ya taifa linaloitwa NHC ambao wanapangisha na kuuza nyumba walizojenga wao wenyewe


In kenya raia hana mamlaka ya kumiliki ardhi mmekuwa watumwa kwenye ardhi yenu yenyewe
[/QUOTE][/QUOTE]
 
Akithibitisha kauli yake ni tag
View attachment 1228228


Now, can you prove to me that Kenyans have no right to land ownership. At least I have proven my point
Etty hatuna mamlaka ya kumiliki ardhi yani huna hata aibu.sasa kenya ardhi kubwa inamilikiwa na watu wachache ambao wanaitwa wakora na the rest ndo wanamiliki vipande vichache vya ardhi.

Na huku tz sehemu kubwa ya ardhi ipo mikononi mwa raia wengi ndo maana narudia kusema kwenu ardhi inamilikiwa na watu wachache ambao ni wakoraView attachment 1228269View attachment 1228270
[/QUOTE]

You are just giving me the same information I provided earlier to prove that you lease land from your government, only that it is a kiswahili version. Nothing new coz you are still proving that mnakodishiwa ardhi na serikali.

I though you said that wakenya hawana mamlaka ya kumiliki ardhi. Iweje tena saa hii unasema ni wachache tu ndio wanamiliki ardhi? I can see the script is changing really fast . Lakini kitu mbaya ni kwamba huwezi dhibitisha madai yako hata moja. At least mimi nimekudhibitishia kwamba mnakodisha ardhi. Wewe pia ungedhibitisha kwamba hatuna mamlaka ya kumiliki ardhi. It's that simple. Kama huwezi heri unyamaze tu coz utaonekana mjinga
[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom