Unajua maana ya kukodisha au kiswahili kigumu.. aya basi kwa kingereza ni ku rent😂😂 Inamaana unachukua kitu kwa mtu badae uta kirudisha... sis hatu rent viwanja tuna vinunua, ina maana hatu virudishi, but Serikali ina haki ya kuvichukua wakivitka.. na it’s obvious wakitaka kuvichukua ina maana wanataka kutumia hiyo sehemu kwajili kitu cha uma..na pia waki vichukuaga wanalipiaga fidia, in other words, wanakinunua kutoka kwa mmiliki.. wee Nicxie wewe 😂😂😂😂😂 you soo dumb broo. You got to something men, I think it’s getting worse day by day 😂😂.. ni ushauri tu lakini