Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We ndugu ni mbishi!!!
Wewe si unaona kuna umilikaji wa ardhi wa aina mbili hapo???
Mbona umilikaji wa ardhi wa kimila umeuacha hauusemei ??Etty hatuna mamlaka ya kumiliki ardhi yani huna hata aibu.sasa kenya ardhi kubwa inamilikiwa na watu wachache ambao wanaitwa wakora na the rest ndo wanamiliki vipande vichache vya ardhi.

Na huku tz sehemu kubwa ya ardhi ipo mikononi mwa raia wengi ndo maana narudia kusema kwenu ardhi inamilikiwa na watu wachache ambao ni wakoraView attachment 1228269View attachment 1228270

Inamaana huwezi hata soma kitu wewe mwenyewe umeleta kama thibitisho na ujue inamaanisha nini!? Na imeandikwa kwa kiswahili, lugha mnayoienzi!
Kweli Watanzania mko na shida shida si haba.
Taarifa uliyoleta ndio hii hapa

View attachment 1228325
Sasa hebu thibitisha yale madai yako ya awali kwamba wakenya hawamiliki ardhi. Hapo sitoki leo
[/QUOTE]
[/QUOTE]


Wabishi ni nyie ambao hawawezi kudhubitisha madai yao hata moja. Kila kitu mnatoa kichwani na kuleta hapa bila kudhibitisha
 
Nyinyi tunawaambia you're still crawling and fighting for our attention. Unfortunately we are giving it to you.

Before even those local media
BBC Nairobi: The largest bureau outside UK

https://www.bbc.com/news/world-africa-46096218

Wengine bado wanangoja approval for four years and they can't leave to neighbourng countries

Plans to build StarTimes headquarters in Kenya still on - firm

https://www.theeastafrican.co.ke/bu...Kenya-still-on/2560-5119922-hl9kal/index.html

China is broadening its efforts to win over African audiences

https://www.economist.com/middle-ea...ing-its-efforts-to-win-over-african-audiences

Huyo umempa za uso. Sioni akirudi tena
 
We ndugu ni mbishi!!!
Wewe si unaona kuna umilikaji wa ardhi wa aina mbili hapo???
Mbona umilikaji wa ardhi wa kimila umeuacha hauusemei ??
Sijawahi sikia au kuona mababu zangu, wazazi hadi mimi tukilipia ardhi naona anakomalia tumekodisha ardhi wakati watanzania karibia wote wanamiliki ardhi kimila 😂😂😂
 
refer to my earlier comment kabla ya kupiga mdomo juu ya numbers. Nikama vile mmejaza views YouTube na Instagram lakini returns kidogo sana compared to Kenya
Ati wacha upumbavu! Get to know even viewers at YouTube means money! The funny thing is u people claim to have over 40mln Internet users n yet we don't see them online!
 
Sijawahi sikia au kuona mababu zangu, wazazi hadi mimi tukilipia ardhi naona anakomalia tumekodisha ardhi wakati watanzania karibia wote wanamiliki ardhi kimila 😂😂😂

Wewe una miaka ishirini utajuaje haya mambo? Mababu zako walishalipia hiyo ardhi miaka hamsini kabla uzaliwe 😂 😂 😂. Miaka 99 yakiisha either vizazi zitakazokuwa walipie upya ama serikali ichukue ardhi yake
 
refer to my earlier comment kabla ya kupiga mdomo juu ya numbers. Nikama vile mmejaza views YouTube na Instagram lakini returns kidogo sana compared to Kenya
Ujinga kitu kibaya mnoo 😂😂😂
Unataka kuniambia wasanii wa kenya wanapiga sana pesa youtube kuliko wasanii wa Tanzania 😂😂😂wivu ni kitu kibaya sana,
Clouds media sio radio local kama hizo zenu
Embu angalia profile yao hapa uone wamewekeza wapi na wapi

 
Sijawahi sikia au kuona mababu zangu, wazazi hadi mimi tukilipia ardhi naona anakomalia tumekodisha ardhi wakati watanzania karibia wote wanamiliki ardhi kimila 😂😂😂

Wewe una miaka ishirini utajuaje haya mambo? Mababu zako walishalipia hiyo ardhi miaka hamsini kabla uzaliwe 😂 😂 😂. Miaka 99 yakiisha either vizazi zitakazokuwa walipie upya ama serikali ichukue ardhi yake
 
Inamaana huwezi hata soma kitu wewe mwenyewe umeleta kama thibitisho na ujue inamaanisha nini!? Na imeandikwa kwa kiswahili, lugha mnayoienzi!
Kweli Watanzania mko na shida shida si haba.
Taarifa uliyoleta ndio hii hapa

View attachment 1228325
Sasa hebu thibitisha yale madai yako ya awali kwamba wakenya hawamiliki ardhi. Hapo sitoki leo
[/QUOTE]


Wabishi ni nyie ambao hawawezi kudhubitisha madai yao hata moja. Kila kitu mnatoa kichwani na kuleta hapa bila kudhibitisha[/QUOTE]Wewe ulitaka iandikwe kwa kingereza kwani ndo lugha yetu.naona imekuuma sana ilivyoandikwa kwa kiswahili
 
According to a Tweet! 😂 😂 😂 WTF!
Over 115 private radio station in Kenya. Over 100 TV stations. Watupatie numbers za Tz. Wajinga hawa they can't see how no media enjoys monopoly like Clouds Radio and to an extension Clouds Media in Tz. They don't understand how listeners and viewers are distributed. yet despite all that, the local media remains wealthier
 
Who owns Kenya?
on September 29, 2014
The 2010 constitution prevents foreigners from owning land in Kenya, but as Kenyans have come to find out implementing these provisions are complicated by the ambiguous nature of the law and deliberate moves by the landed class to frustrate the process.
Bill Odidi
When Kenya’s Attorney General told the International Criminal Court in July this year that there were no records to indicate that President Uhuru Kenyatta owned any land in the country, his comments offered a reflection of the mysterious nature of landownership in Kenya.
It is well known that the family of Kenya’s First President, Jomo Kenyatta, father to the current President, owns large tracts of the most productive land particularly in Central Kenya and at the Coast. Forbes Magazine placed the total land owned by Kenyatta and his family at 500,000 acres of prime land spread across the country.
A survey 2014 found that 50% of Kenya’s wealth is in the hands of political families , with the ownership of land providing the core of this wealth.
The skewed ownership of land is dire in a country where only 17% of the land is arable, with the rest mostly arid and semi arid. The Kenya Land Alliance says that more than 65% of this productive land in Kenya is in the hands of only 20% of the population.
The chaotic nature of land records in Kenya obviously suits the political and business elite who would like to maintain secrecy over their ownership of the country’s land. In recent audit, The Lands Ministry discovered that 1.3 million files were lost, misplaced or misfiled.


Ebu fananisha situation yenu na yetu.
Inamaana huwezi hata soma kitu wewe mwenyewe umeleta kama thibitisho na ujue inamaanisha nini!? Na imeandikwa kwa kiswahili, lugha mnayoienzi!
Kweli Watanzania mko na shida shida si haba.
Taarifa uliyoleta ndio hii hapa

View attachment 1228325
Sasa hebu thibitisha yale madai yako ya awali kwamba wakenya hawamiliki ardhi. Hapo sitoki leo
[/QUOTE]


Wabishi ni nyie ambao hawawezi kudhubitisha madai yao hata moja. Kila kitu mnatoa kichwani na kuleta hapa bila kudhibitisha[/QUOTE]
 
Wewe una miaka ishirini utajuaje haya mambo? Mababu zako walishalipia hiyo ardhi miaka hamsini kabla uzaliwe 😂 😂 😂. Miaka 99 yakiisha either vizazi zitakazokuwa walipie upya ama serikali ichukue ardhi yake
Punguza kutumia makwapa kufikiria,
Nimekuambia watanzania karibia wote wanamiliki mashamba kimila ila kwa sababu wewe ni mjinga endelea kushikilia hapo hapo baki na ujinga wapo.
 
There's nothing new about land rates that I don't know kwa sababu nalipia yangu kodi kila mwaka so hakuna maelezo inayolipa hapo.

Now,bado naomba udhibitishe kwamba wakenya wengi hawana mamlaka ya kumiliki ardhi kama ulivyosema. Mbona unashindwa kudhibitisha madai yako jamani?
Ardhi ya kenya ipo mikononi mwa wakora ndo maana wewe mwenyewe mpaka sasa umeishia kukakaa kwenye rent house
[/QUOTE]

Only that you can't prove anything, too bad. Wewe endelea kukodisha ardhi ndani ya nchi yako kama mtumwa [/QUOTE]Inabidi watu kama ninyi ni wa kupuuza coz hamuelewi chochote kile
 


Wabishi ni nyie ambao hawawezi kudhubitisha madai yao hata moja. Kila kitu mnatoa kichwani na kuleta hapa bila kudhibitisha[/QUOTE]Wewe ulitaka iandikwe kwa kingereza kwani ndo lugha yetu.naona imekuuma sana ilivyoandikwa kwa kiswahili
[/QUOTE]

Kilichoniuma ni wewe kutoelewa kilichoandikwa kwa kiswahili.
 
Punguza kutumia makwapa kufikiria,
Nimekuambia watanzania karibia wote wanamiliki mashamba kimila ila kwa sababu wewe ni mjinga endelea kushikilia hapo hapo baki na ujinga wapo.

Kwa vile Mimi ni mjinga na wewe ni mwerevu sana, hebu dhibitisha kwamba wakenya wengi hawana mamlaka ya kumiliki ardhi
 
View attachment 1228228


Now, can you prove to me that Kenyans have no right to land ownership. At least I have proven my point
Etty hatuna mamlaka ya kumiliki ardhi yani huna hata aibu.sasa kenya ardhi kubwa inamilikiwa na watu wachache ambao wanaitwa wakora na the rest ndo wanamiliki vipande vichache vya ardhi.

Na huku tz sehemu kubwa ya ardhi ipo mikononi mwa raia wengi ndo maana narudia kusema kwenu ardhi inamilikiwa na watu wachache ambao ni wakoraView attachment 1228269View attachment 1228270
[/QUOTE]

Inamaana huwezi hata soma kitu wewe mwenyewe umeleta kama thibitisho na ujue inamaanisha nini!? Na imeandikwa kwa kiswahili, lugha mnayoienzi!
Kweli Watanzania mko na shida shida si haba.
Taarifa uliyoleta ndio hii hapa

View attachment 1228325
Sasa hebu thibitisha yale madai yako ya awali kwamba wakenya hawamiliki ardhi. Hapo sitoki leo
[/QUOTE]Issue kama hiyo wanafanyiwa wageni wanapewa kulingana na muda.mtz hawezi kodishiwa ardhi yake tafakari upya ndo uje na hoja nyingine
 
Ati wacha upumbavu! Get to know even viewers at YouTube means money! The funny thing is u people claim to have over 40mln Internet users n yet we don't see them online!
I don't think it's 40 million. That must be cellular subscription. Nipe source. My point was that numbers are irrelevant if their value is lower. Tanzania's YouTube CPM is muuuch lower than Kenya. The only advantage is that the artist will easily get our atention with more views hence get more shows outside Tz.
 
Back
Top Bottom