Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobi slums ziko nje ya residential areas, hawa ni ndani ya city, yaani Dar-is-a-Slum 🤣🤣🤣 ukipita kwa highway ya Bagamoyo unadhani all is well kwanza hapo Kijitonyama kumbe waTanganyika kaficha uchafu nyuma ya buildings. Nyumba zinaeza kubwaga moyo kama Nicxie anavyosema 🤣🤣 Hii Dar na Mombasa haina tofauti. labda serikali iwajengee gorofa zingine

This is the hell behind those shiny kijiko na nyama buildings 😂 😂
PhotoGrid_1566596636957.jpg
 
Wakenya wanatafuta slum za Dar kwa torch hawazioni,eti kuna mbukinya kaleta hii picha akiita slum,tangu lini nyumba zenye fence zikawa kwenye slum!
 

Attachments

  • IMG_20191009_191259_171.jpg
    IMG_20191009_191259_171.jpg
    170 KB · Views: 4
Yan awa majamaa n wa kuachan nao wamekosa cha kuonesha wao wanajua slums cjui n k2 gani na hapo walpo wanataman vbaya mno wangekuwa wanaishi tz coz uhkk wa ardhi upo sio kama kenya hawana ardh
Wakenya wanatafuta slum za Dar kwa torch hawazioni,eti kuna mbukinya kaleta hii picha akiita slum,tangu lini nyumba zenye fence zikawa kwenye slum!
 
Nairobi slums ziko nje ya residential areas, hawa ni ndani ya city, yaani Dar-is-a-Slum 🤣🤣🤣 ukipita kwa highway ya Bagamoyo unadhani all is well kwanza hapo Kijitonyama kumbe waTanganyika kaficha uchafu nyuma ya buildings. Nyumba zinaeza kubwaga moyo kama Nicxie anavyosema 🤣🤣 Hii Dar na Mombasa haina tofauti. labda serikali iwajengee gorofa zingine

By the way, In your Opinion What is Serikali?
 
Jamaa ywaumia kuskia kibera kuna umeme...
Sasa ni wapi hii Nairobi hakuna umeme? I have been to several parts of Nairobi but I have never seen a place with no electricity. Achana na hawa, wanasau electricity access iko juu Kenya kushinda kwao
 
Back
Top Bottom