Weee jama wewe😂😂😂😂😂😂😂 kibera ana afford kuu kaa tegeta??😂😂😂😂 yani wakenya mna ndoto zenu wenyewe embu paonene tegeta 👇🏽... sio tegeta naijua mimi.. sio wale wanao kaa kwenye mabati yale 😂😂😂😂😂😂 we jama wewe... Nicxie kaa kutuma nini 😂😂 na hao wote unao waona ni private homes.. and their own land..😂😂 that’s how rich we are
View attachment 1227346View attachment 1227346
Tena mbezi ndo wala hutakiwi kuitaja.., hakuna mtu wa anaeishi kwenye apartment apo kenya anaweza kupa affords huku 👇🏽👇🏽👇🏽.. wakenya bwana 😂😂😂 mna nifuraishaga sana 👇🏽👇🏽👇🏽
View attachment 1227350View attachment 1227355
😂😂😂😂😂😂😂😂 you fulls y’all just don’t know what you messing with.. na I dare you kunitumia sehemu apo Nairobi ambapo unapa a lot of individuals house nyingi namna hiyo.. na apo ata sijaenda pande za masaki huko.. na oysterbay