TYWIN LANNISTER
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 854
- 209
You lack informations
If that's not a slum,it doesn't mean an estate...go back to school
from your english you are the one who needs to go back to school
You lack informations
If that's not a slum,it doesn't mean an estate...go back to school
Wacha wajikaze na hopes. Blind patriotism at its best. Nashangaa wanashabikia vitu basic sana hata nikajiambia kweli waKenya tuko blessed sana ila hatuoni. Lakini I think ni media PR imekuwa ikichocha hizi project za JPM sana bila any criticism ndiposa wanapiga mdomo sana.Kuna wakati walikana sana eti hii si picha ya Dar. Denial is in their blood
dodoma is a market centermnapenda uchokozi kweli, hiyo Dodoma kwanza ikabishane na Eldoret before hata Nakuru 🤣🤣
Sijui nitakujibu mara ngapi. You guys seem to want to redefine the meaning of slumsKuna watu niliwaambia waende Google Map wasearch slums in Dar kisha walete screenshot hapa kisha wasearch tena slums in Nairobi kisha walete screenshot hapa naona wanakwepa quote yangu 😂😂😂.
Kibera is just 2.5 square kilometres. A very small area. But to these bongolalas, such a small area can actually accommodate 2.5 million people! That's a population density of 1 million people per square kilometre! Well, kibera people must be alliens, they are not from this planet and that's why they can fit in such a small area 😂 😂
Kweli common sense is not common to everyone
Punguza bla bla kibao fanya nilichokuambiaSijui nitakujibu mara ngapi. You guys seem to want to redefine the meaning of slums
Samahani kaka, nimekosea kuwapatia hadhi ambayo haifai. Waliona ni aibu kuwaleta wageni wa kimataifa kwenye Dar-is-a-slum wakaona kuanza kwa ukurasa mpya pale center inaetwa Dodoma 🤣 🤣 🤣dodoma is a market center
it is an insult to compare it with eldoret
Can not compare house ya kibera au mathare dhd ya nyumba za dar ziko tofauti kabisa
There is no need for Google Map.Kuna watu niliwaambia waende Google Map wasearch slums in Dar kisha walete screenshot hapa kisha wasearch tena slums in Nairobi kisha walete screenshot hapa naona wanakwepa quote yangu .
Kwa hilo wewe sahau karibia kila raia watz anamiliki ardhi na nyumba yake ya standard.na ishu kama hii huwezi kuikuta kwa kenya ndo maana mlikuwa mnaililia ardhi yetu coz huko kwenu serikali ndo imemiliki[/QUOTE][/QUOTE]Thibitisha kauli yako kama ardhi ya dar au tz n ya ccm au ndo unaropoka pumba zako husizozijua.Umeshau km ardhi hko ni ya ccm...
Maskini, yani unakodishiwa ardhi na serikali km vile wewe huna haki ya kuimiliki hyo ardhi km raia mwema...
Unaishi km squater kwenu..si fair haki
how'd you benefit as an individual ikiwa ya serikali ya muungano? waeza kuacha kama urithi? ukiishiwa na pesa mfukoni utaennda kuitisha rent kwa hiyo gorofa?
Punguza shoboThere is no need for Google Map. View attachment 1228044View attachment 1228045
Pole sana, this is not 2019
Its does not matterPole sana, this is not 2019
Iwe au isiwe ila hiyo ni nairobi cityPole sana, this is not 2019
Nimedunga pabaya? sorry.Punguza shobo
It matters, it shows that Nairobi is progressing and things that were witnessed two years ago are not witnessed today juu zinakuwa fixed. Flooding ya Dar is monthlyIts does not matter
I'm sure the pictures ni za 2017Iwe au isiwe ila hiyo ni nairobi city