WaTanzania kweli mna mambo 🤣🤣hauoni tofauti zenu zipo kilocal huku zimekaa kiproffesional zaidi![]()
WaTanzania kweli mna mambo 🤣🤣hauoni tofauti zenu zipo kilocal huku zimekaa kiproffesional zaidi![]()
That language is uncalled for. I refuse to be drawn to such. Clear ad hominem when cornered. Jadili hoja usikike sio kumrushia matusi aliyetoa hoja, hilo halichangii popote katika kuinua uhadhi wa hoja zako.povu la malaya aliyekosa kulipwa pesa baada ya kuliwa tuta......
so sorr my jirani![]()
Kwa hiyo sasa hivi ni all Kenyan cities combined vs Beautiful Dar es salaam 😂😂😂Naona sura za waAfrika tu hapa
View attachment 1220333
Jameni tukisema huku ni ulaya hatuwatanii
View attachment 1220339
Nchi ya Tusker na burudani 😎😎😎 mind you hii rooftop club and pool ya mall ingine. Bado naona tu waAfrika wakipiga sherehe
View attachment 1220340
View attachment 1220362
Nakuru town haina hadhi kama Mombasa wala Kisumu lakini flyover za kisasa zipo na zinatumika, hapa hamna story ni kujenga tu
View attachment 1220363
Bado Nakuru town (not City) Hii mechi naonelea iwe ya Dar vs Nakuru 🤣🤣
View attachment 1220372
Thika Town hapa chini mji mdogo lakini standards international. Naona sura za kiAfrika bado.
View attachment 1220380
Eldoret town hii hapa ina 3* standards za hizo 5* za Dar mnatuonyesha hapo. Flyover ingine mega iko under construction huko.
View attachment 1220378
not sure if this happens in Kenya
haha, namaanisha hii competition mnafaa kushindana na towns zingine za Kenya lakini si Nairobi.Kwa hiyo sasa hivi ni all Kenyan cities combined vs Beautiful Dar es salaam 😂😂😂
Nipitie uzi wa kurasa elfu nane ndio nikufurahishe ama?Dxtr Kijana unapoingia kwenye Uzi mpya jaribu kuona wengine wamefikia wapi, maana naona unatueleza marudio
Nyinyi wakenya wapya wa jf ni vizuri kupitia nyuzi za nyuma kabla ya kuja kuongea utumbo hapa palikuwa na wakenya wakongwe wote walikimbia ni vizuri ungejua kwanini walikimbiaNipitie uzi wa kurasa elfu nane ndio nikufurahishe ama?
Hivi baada ya hii station ya kimataifa kumalizika kuna jengo lingine la kitega uchumi cha Trc litafuata au ndio basi maana ktk render kuna mawili
wazee kwenye sector ya ushawishi kidiplomacy nchi yenu nothing,,,,,,huyo mkimbizi ana mchango gani katika taifa la kenya na mataifa ya nnje
















wakenya mnavisa sana kama mmeshindwa kuutouch speakears mngekausha tu kuliko hivyo maana mnatuletea haibu east africajionee tofautihaloooo haloooo ndugu wateja wetu pendwa treni yetu itaanza safari mda si mrefu toka hapa station ya nairobi hadi mombasa.....halooo haloooo mnanisikia haloo haloo ngoma battery low...
haloo halooo karibuni sana......
local treni local life,local sgr local peopleswakenya mnavisa sana kama mmeshindwa kuutouch speakears mngekausha tu kuliko hivyo maana mnatuletea haibu east africaView attachment 1220487
This is the trend across the country yaani ni kinyaa mambo ya dream houses ni planning at all😂 😂 😂 😂 😂
View attachment 1218356
Is this Kibera or Korogojo?About Wi-F...yeah I got Wi-Fi in my house and I can reply to your shit anytime, day or night so don't worry about that so much. a Now can you please tell me the location of your dream house from these pictures below?
View attachment 1220217View attachment 1220218View attachment 1220219