Tupatie pichaNyingine nimeona inasimama pale Buguruni,![]()
Tupatie pichaNyingine nimeona inasimama pale Buguruni,![]()
We unaipenda Dar kimoyomoyo ila unaona noma kukubaliThis is the only estate I respect in Dar. Good planning, nice houses with plenty of green spaces. zingine zote ni uchwara tu
Si kweli,wewe hujaijua vizuri Google earth,halafu we mzee wa natural calamity unajifanyaga unajua kila kituI have uploaded so many photos here from Google Earth, google maps, normal camera photos and many others. So shida yako haswa ni nini? Google earth images show real time image of a particular place; they are not uploaded images as you imply here. So picha nilozoleta hapa za google earth ni images ambazo hata saa hii ukienda kwenye hizo maeneo, utapata yako hivyo hivyo vile google earth inazitoa ila nyinyi mnasemaga eti zimebolewa. Endeleeni kukaba kila kitu ila ukweli itabaki pale pale
Kibera?????..!!! Hey kibera is something else..give kibera his respectHapa panatoshea kibera 2,000 na bado kubaki space. Na ile shule in the middle on the right top corner ndo st kuyumba?
Nyingine inasimamishwa pale vingunguti,kiembembuziNyingine nimeona inasimama pale Buguruni,![]()
🤣 🤣 🤣
Phase 3 na 4 ipo included pia...Yajayo yanafurahisha...Yaani ukidondoka hapo unaweza kudhani uko states!!.😂😂😂
Ila kwa nini brt phase 2 haikuwa hii barabara ya airport,ile Nyerere road ingekuwa na brt baaaaasi tungekuwa tumeua nyenyere kwa nyundo
Keep dreaming with suspension bridges... So ignorant!SGR Suspension Bridge along Gerezani, Pillars Emerging.
View attachment 1217291
View attachment 1217292
CryKeep dreaming with suspension bridges... So ignorant!
Tusamehe Sindano ni Sindano😂😂😂Keep dreaming with suspension bridges... So ignorant!
Nikasema mleta aerial views za mitaa zenu (not rich neighbourhoods) Nairobi Bado sijaona. Sisi picha aerials ukitaka nitakuletea hata sasaHawa wanaogopa kupga aerial view mana nairobi ni mbaya. Wanafananisha kkoo na vijumba vya watu vya kuishi. Hawawez leta aerial view wataleta picha moja moja kutudanganya hapa, na wakileta aerial view bas ni usiku na mapodapoda kibao. Wakat pcha za nairobi tunazo. Hamna kitu pale mzee babaView attachment 1217259View attachment 1217260
Wewe ndio umeitisha battle. I was expecting uwe umesusha picha kadhaa by nowTuleteee tupambane nayo sasa
Kumbe hata wewe unajua tu inafanana naongea kibera? Asante kwa kutambua kwamba hakuna sehemu Nairobi inaweza fananishwa kama sio mitaa za mabandaHapa panatoshea kibera 2,000 na bado kubaki space. Na ile shule in the middle on the right top corner ndo st kuyumba?
Nikasema mleta aerial views za mitaa zenu (not rich neighbourhoods) Nairobi Bado sijaona. Sisi picha aerials ukitaka nitakuletea hata sasa
Yes I am. Back to business.... Niletee aerials za mitaa zenu za kawaida. Ulisema hizo za google earth ni za uongoSimu yako kila wakati alarm iko on! Wewe ni watchman..
#TUNATEKELEZA