Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hehehe... why are you even showing this? A health centre!?!? SMH
Wewe teta sisi tunatekeleza😂😂😂🤣🤣🤣
Screenshot_20190927-143003.png
 
Hawa wanaogopa kupga aerial view mana nairobi ni mbaya. Wanafananisha kkoo na vijumba vya watu vya kuishi. Hawawez leta aerial view wataleta picha moja moja kutudanganya hapa, na wakileta aerial view bas ni usiku na mapodapoda kibao. Wakat pcha za nairobi tunazo. Hamna kitu pale mzee baba
Alafu mbona wana rudia rudia picha hizo hizo kila siku [emoji23][emoji23][emoji23] au wameishiwa.
tapatalk_1569344273025.jpeg
tapatalk_1569344278472.jpeg
 
Yajayo yanafurahisha[emoji23][emoji23][emoji23] Kila kona ya nchi kuna miradi mikubwa inaendelea...Magufuli atawale miaka 20...
#TUNATEKELEZA waowana #TETA
Aahahahaa mbna kazi wanayo, kama hawatupendi bado tutawatia sindano hadi watuelewe
 
Hawa wanaogopa kupga aerial view mana nairobi ni mbaya. Wanafananisha kkoo na vijumba vya watu vya kuishi. Hawawez leta aerial view wataleta picha moja moja kutudanganya hapa, na wakileta aerial view bas ni usiku na mapodapoda kibao. Wakat pcha za nairobi tunazo. Hamna kitu pale mzee babaView attachment 1217259View attachment 1217260
Hawa niwachumba wetu muda mrefu sanaaaa😂😂😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa wanaogopa kupga aerial view mana nairobi ni mbaya. Wanafananisha kkoo na vijumba vya watu vya kuishi. Hawawez leta aerial view wataleta picha moja moja kutudanganya hapa, na wakileta aerial view bas ni usiku na mapodapoda kibao. Wakat pcha za nairobi tunazo. Hamna kitu pale mzee babaView attachment 1217259View attachment 1217260
 
I have told you am watching google earth images. How hard is it to understand simple things? You can't upload an image on Google earth. Hizo uploaded images unasema unajua mahali umetoa. The image below is from Google Earth showing current status of tandale. Is this an uploaded image?
View attachment 1217119
Simu yako kila wakati alarm iko on! Wewe ni watchman..
 
Back
Top Bottom