Godwin Gen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2017
- 1,309
- 2,277
#TUNATEKELEZA.
Mwenyezi Mungu amjalie Magufuli maisha marefu. Napenda jinsi anavyofocus kwenye basic services mijini na vijijini (anatwanga kotekote)
#TUNATEKELEZA.
We JAMAA tumiaga akili mapicha mengi useless


Badala umueleweshe mwenzako unaendelea kumpotosha mnaleta uploaded photos za google Search na alamy stock photos alafu mnasema ni Google EarthI have told you am watching google earth images. How hard is it to understand simple things? You can't upload an image on Google earth. Hizo uploaded images unasema unajua mahali umetoa. The image below is from Google Earth showing current status of tandale. Is this an uploaded image?
View attachment 1217119


Anaongea mambo ya uploading images to google earth???.. Aibu, Aibuu.!


au wameishiwa.
Ndo alivyo huyu, anapga pcha moja moja tuone kama kuna vijengo, wakat ss tunapga aerial view inaonesha kila kitu
Saaana.achana naye huyo hana akili.......nimemcheka sana kwa kweli.....ujue wakenya ni washamba sana![]()
Baharia unatoa vichapo heavy sana. Huyu buda hapo alipo atakua anaugulia maumivu, na huwa anachelewaga kupona kinyamaKwa hiyo hizo picha alizotuma ni za Google Earth ?
Hivi ni umekubali ndugu yako akudanganye au unamtetea kumfichia aibu?
Embu nenda Google Earth alafu angalia uone kama utaona hicho alichotuma,
Huyu huyu jamaa yako alisema juzi ile shule iliyovunjika chanzo ni natural calamity
Juzi tena nilituma Google Map ikionesha slums za Nairobi akaniambie eti kila mtu ana uwezo wa kuedit Google Map na kuandika chochote
Mimi nikampa assignment aende aedit atoe slums za Nairobi azihamishie Darhakunijibu tena,
Kwa taarifa yenu hayo maeneo yalishachange kitambo Sana.


Baharia unatoa vichapo heavy sana. Huyu buda hapo alipo atakua anaugulia maumivu, na huwa anachelewaga kupona kinyama
Umeamka...??😂😂😂 Una amkia JF...Do you know what a suspension bridge is?
Message sent..😂😂😂👇👇👇Hajui, kuropoka majina tu aliyoyaskia mahali bila kuyaelewa...
Kuna mtu kakosa picha...😂😂😂Swimming pools na viti hata majumbani vipo....Una weka na parking lots😂😂😂😂 Uwezo wako wakufikili umeishia hapo...🤔🤔🤔Still on Hurlingham...
View attachment 1216999View attachment 1217000View attachment 1217001View attachment 1217002View attachment 1217004View attachment 1217006View attachment 1217007View attachment 1217008View attachment 1217009View attachment 1217010View attachment 1217011View attachment 1217012View attachment 1217013View attachment 1217016View attachment 1217019View attachment 1217020View attachment 1217021View attachment 1217022View attachment 1217023View attachment 1217024
😂😂😂😂 Nahaya vutii....Swimming pools na parking lots wapi na wapi....😂😂😂😂Alafu quality ya picha ni chafuuu...But all in all hiyo ndo Nairobi...Hawana jipya..We JAMAA tumiaga akili mapicha mengi useless
Yajayo yanafurahisha😂😂😂 Kila kona ya nchi kuna miradi mikubwa inaendelea...Magufuli atawale miaka 20...Ndo alivyo huyu, anapga pcha moja moja tuone kama kuna vijengo, wakat ss tunapga aerial view inaonesha kila kitu
Kwa hiyo hizo picha alizotuma ni za Google Earth ?
Hivi ni umekubali ndugu yako akudanganye au unamtetea kumfichia aibu?
Embu nenda Google Earth alafu angalia uone kama utaona hicho alichotuma,
Huyu huyu jamaa yako alisema juzi ile shule iliyovunjika chanzo ni natural calamity
Juzi tena nilituma Google Map ikionesha slums za Nairobi akaniambie eti kila mtu ana uwezo wa kuedit Google Map na kuandika chochote
Mimi nikampa assignment aende aedit atoe slums za Nairobi azihamishie Darhakunijibu tena,
Kwa taarifa yenu hayo maeneo yalishachange kitambo Sana.