Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

You can't afford that's why huwa mnajazana sehemu za free Wi-Fi
Nyinyi tumewazoea. Chuki zimewafika kooni. Lakini hatujali kwa sababu dunia yote inajua idadi ya wakenya wanaotumia internet ni wengi kuliko Tanzania. Hiyo ndio kitu inawauma sana
 
Ukiongea pumba kuhusu Tz ni sawa [emoji23][emoji23][emoji23]
Lakini mimi nikikupa ukweli unasema nina chuki, ama kweli Nyani haoni kundule,
Ni kweli wakenya wengi hawawezi afford bando ndio maana mnajazana sehemu za free Wi-Fi ukitaka andamana,
Idadi wengi mnaotumia lakini hakuna cha maana mmachofanyia zaidi ya kutizama p0rn.
Nyinyi tumewazoea. Chuki zimewafika kooni. Lakini hatujali kwa sababu dunia yote inajua idadi ya wakenya wanaotumia internet ni wengi kuliko Tanzania. Hiyo ndio kitu inawauma sana
 
Ukiongea pumba kuhusu Tz ni sawa [emoji23][emoji23][emoji23]
Lakini mimi nikikupa ukweli unasema nina chuki, ama kweli Nyani haoni kundule,
Ni kweli wakenya wengi hawawezi afford bando ndio maana mnajazana sehemu za free Wi-Fi ukitaka andamana,
Idadi wengi mnaotumia lakini hakuna cha maana mmachofanyia zaidi ya kutizama p0rn.
Hayo ni maneno umetoa akilini Kwa sababu huwezi dhibitisha madai yako. Mimi naweza kukudhibitishia kwamba wakenya wengi hutumia internet kuliko Watanzania. If you can't prove a point on anything you say, it remains hot hair meant to soothe your ego.
 
Hata mimi Naweza kuthibisha wakenya wengi wanapenda po0rn [emoji23][emoji23][emoji23] pia wanajazana sehemu za free Wi-Fi kwa sababu hawawezi afford bando.
Hayo ni maneno umetoa akilini Kwa sababu huwezi dhibitisha madai yako. Mimi naweza kukudhibitishia kwamba wakenya wengi hutumia internet kuliko Watanzania. If you can't prove a point on anything you say, it remains hot hair meant to soothe your ego.
 
.
Nyinyi tumewazoea. Chuki zimewafika kooni. Lakini hatujali kwa sababu dunia yote inajua idadi ya wakenya wanaotumia internet ni wengi kuliko Tanzania. Hiyo ndio kitu inawauma sana
IMG_20190922_100427.jpeg
 
Nyinyi tumewazoea. Chuki zimewafika kooni. Lakini hatujali kwa sababu dunia yote inajua idadi ya wakenya wanaotumia internet ni wengi kuliko Tanzania. Hiyo ndio kitu inawauma sana
watu kutumia internet ...........

we wawapi mbona unakua na ushamba kiasi hicho
 
Ukiongea pumba kuhusu Tz ni sawa [emoji23][emoji23][emoji23]
Lakini mimi nikikupa ukweli unasema nina chuki, ama kweli Nyani haoni kundule,
Ni kweli wakenya wengi hawawezi afford bando ndio maana mnajazana sehemu za free Wi-Fi ukitaka andamana,
Idadi wengi mnaotumia lakini hakuna cha maana mmachofanyia zaidi ya kutizama p0rn.
hajui kama huku dar hata utoe offer gani ya wi-fi watu hawana hata habari wanaipotezea tu watu huwa hatuna mda wa kuganda na vitu za kipuuzi za free wi-fi ...
huwa hatuna mda wakupoteza wakati bandle zipo[emoji2][emoji2]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
hajui kama huku dar hata utoe offer gani ya wi-fi watu hawana hata habari wanaipotezea tu watu huwa hatuna mda wa kuganda na vitu za kipuuzi za free wi-fi ...
huwa hatuna mda wakupoteza wakati bandle zipo[emoji2][emoji2]
 
Avic have many projects in TZ too. Kuna Project pale Oysterbay ni ya zamani hata kabla tupo shule za awali.


1. AVIC APARTMENTS -OYSTERBAY

View attachment 1212628

View attachment 1212627

View attachment 1212629


2. AVIC APARTMENTS - SEA VIEW.

View attachment 1212630

View attachment 1212632


3. AVIC TOWN - AMANI BEACH

View attachment 1212634

View attachment 1212635

View attachment 1212636

4. SKY TOWER- KIJITONYAMA


f7ce6f8f91b3e9c4e4a8609feb03c3c6.jpg



683c46a79a6612977fffa9c07e7106b8.jpg



d335c9947209aa20284d4c7c95aad948.jpg
Hizi ghorofa zina iconic architecture nzuri if they were many no need ya 3 blue towers mnaonyesha daily humu
 
Back
Top Bottom