Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

KQ hii hii inayoleta hasara daily mpk kufanya flight cancellation ??!!!!!!!
Na sasa mna lease planes instead of buying.
Bogus you.
Hey terrorist, do you that KQ is the majority shareholder in Precious airline.
 
Hey terrorist, do you that KQ is the majority shareholder in Precious airline.
Do you that KQ!!!!???
What does it mean??
What is your concept over there??
Do you know KQ is the major shareholder in precious airline???
Sijui.
Hatakama ningelikua najua lakini hakuna kipya kwa KQ zaidi ya hasara inazoleta na usitishaji safari kila siku.
Halafu nakuja ilipua Britam tower waekeni KDF stand by.
 
Vitu vya Kigoma town

18642064103_73f7e712b2.jpg


19266323271_7c48b4eab9.jpg



Hii Kigoma hata kwa Kisii town ni bado sana
maxresdefault (10).jpg
downloadfile-6.jpeg
information_items_property_15819762.jpg
1558004050e1d1d5.jpg
C3Qf-RHWQAAEWqp.jpg
ufanisi-resort-kisii.jpg
images(15).jpg
images(14).jpg
g508199.jpg
An-aerial-view-of-Kisii-town.jpg
Uhuru.jpg
ebb12db0z.jpg
images(12).jpg
unnamed.png
bOUMJdmKAQIMG-20180802-WA0071.jpg
 
Aina ya mifumo ya maisha ya kikoloni wote tunajua ni aina gani baina ya nchi hizi mbili kwahiyo usitake kusema miaka hiyo hicho kilichomo NBO kilikuja kwa nguvu za wakenya, si kwelii

Ni mzungu ndiye aliyefanya hayo, ukizingatia mlikua kwenye ubepari na sisi tulikua kwenye ujamaa, kwahiyo mzungu hakua na nafasi kwenye ardhi ya Tanganyika

Mzungu alifanya settler economy, alifanya mambo yake huku na yeye akiishi hapohapo NBO

NBO mmejengewa na mzungu, mlichobahatika kuwa nacho ninyi ni Prism Tower, Thika Rd, Southern Bypass, Britam and the likes

Hata hiyo Kibera ni urithi mtakatifu kutoka kwa mzungu pia, kwahiyo mzungu amewafanyia vitu vingi sana mnatakiwa mumshukuru kwa kila aina ya goti
When you are beaten and realize Nairobi is miles ahead of Dar is Slum. You agree Nairobi is better thus can only insinuate it's built by whites. Poor fishing village mentality.
 
Back
Top Bottom