Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Heheeee!!huwezi bishana na ukweli
100m from nairobi CBD
Screenshot_20190917-005236_Opera%20Mini%20beta.jpeg
 
View attachment 1208533
Africa bado sana,tuache tambo,usafiri huu ulitumiwa enzi za Yesu Kristo according to Bible haya si maigizo baada ya miaka kadhaa ya uhuru ni kweli yanatokea barabara hazipitiki misimu yote,kuna wanadamu hupoteza uhai wao katikati ya safari huenda tungeweza kunusuru maisha yao.Usafiri wa punda leo?!!!!!!! Aibu.

Wazee wa Uchumi Gorofa naona wakikokota mzoga.
 
View attachment 1208533
Africa bado sana,tuache tambo,usafiri huu ulitumiwa enzi za Yesu Kristo according to Bible haya si maigizo baada ya miaka kadhaa ya uhuru ni kweli yanatokea barabara hazipitiki misimu yote,kuna wanadamu hupoteza uhai wao katikati ya safari huenda tungeweza kunusuru maisha yao.Usafiri wa punda leo?!!!!!!! Aibu.

Wazee wa Uchumi Gorofa naona wakikokota mzoga.
 
habari ya hili jengo ilivuma sana kipindi cha JK, vip hiv bado lipo na mbona kama silijui 🥵 .. ni hotel au nn

mwenye uelewa aeleze kidogo kuhusu hili jengo, habari yake niliisikia sana ila mpka sasa sijui mwisho ilikuwa nn

Jengo Kwa sasa wanakaa viongozi wengi wa serikali na maeneo mengine watu wa kawaida. Kuna majudge, hadi msigwa wa ofisi wa Rais anakaa hapo. Niliwahi panda juu kule nikatungua mipicha nikala kona, Ulinzi sio sana wiki hiyo Ila kuna siku nilikua floor ya kumi Na kitu pale juu kuna mwenyeji alisema huwa watu wanakuja kama wakiona kuna kitu suspicious. Mi huwa sielekezi Camera upande ule wa Ikulu hata siku moja .
 
Refinery set to turn Tanzania city into major gold hub ''Tanzania is set to earn more from its gold once the first refinery is completed in the country’s administrative capital Dodoma in the next six weeks. The gold refinery is currently more than 80 per cent complete, and the first trial is set for October 25.

According to Prince Mgisha, the chief operating officer of Eyes of Africa Ltd, a Serbian mining company that owns the refinery, the plant will cost $15 million and will process raw gold produced in over 19 regions in Tanzania and neighbouring countries such as the Democratic Republic of Congo. After decades of exporting raw gold, Tanzania will now export the refined product and earn more from the value addition.

“As Africa's fourth-largest gold producer, this is a huge step for our country and economy,” said Dotto Biteko, Tanzania’s Minister for Minerals during a recent media tour of the refinery. The Bank of Tanzania plans to run a gold reserve with locally-refined stock in a bid to tap into the business potential of the Dodoma gold refinery. The refinery is also expected to create employment opportunities for locals. The Bank of Tanzania plans to run a gold reserve with locally-refined stock in a bid to tap into the business potential of the Dodoma gold refinery. The refinery is also expected to create employment opportunities for locals. The gold refinery is expected to have a production capacity of minimum 40 kilogrammes of refined gold per day, processed from almost one tonne of gold ore, according to Mr Mgisha.

He also cited benefits for artisanal and small-scale miners in the country who will be able to have their gold refined and use it as collateral to get loans from banks. “Artisanal and small-scale miners in the country have suffered from a lack of loans, capital and poor investment, but this is about to change,” said Mr Mgisha, adding that when the price of gold goes up, the same gold used as collateral for loans could still be sold for a higher price.

There are about 28 mineral trading centres in operation around the country. Statistics show that an average of 20kg of gold is traded per day per mineral hub. “Geita on average trades between 20kgs- 24kgs of gold per day,” said Awadhi Hafidhi, a gold dealer in Chunya.

Acacia Mining Plc’s Bulyanhulu and Buzwagi mines produce around 50,000 tonnes of gold and copper concentrate per year. Earlier this year, President John Magufuli ordered the central bank to create a gold reserve to supplement national reserves and also enforce control on mineral exports.

President Magufuli has locked horns with foreign mining companies for his radical regulation of the country's mining sector. He accused mining firms of fraud and underreporting of production and profits, thus denying the country revenue from its resources. The government has enforced tougher rules on the mineral sector, even going as far as constructing a 24km perimeter wall with surveillance cameras around the mines in Mirerani, Manyara regions to stop smuggling of gemstones. It also banned the export of gold and copper concentrates.

Tanzania has been described as a sleeping economic giant because of its vast deposits of gold, tin, nickel, iron, copper, zinc, lead, diamonds and uranium; tanzanite, coal and industrial minerals such as soda, kaolin, gypsum, and phosphate.''

Safi sana awamu ya 5 Hapa Kazi tu ..... ..... ..... . Utaona Mwezi January mwakani shillingi yetu itakavyotengemaa maana chacha BOT watakuwa na uwezo wa kuweka utajiri wetu kwenye gold bars sio US dollars tena ….. ….. patamu hapo! https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/32853079/
 
The Distance from Dar es Salaam's many slums to the CBD is even shorter than similar cases for Nairobi.From Tandale slums to the CBD is just 4KM.From Manzese to CBD is 2.6KM
Huo uongo unamfaidisha nani haswa
Labda wakenya wenzako wakuamini, kutoka Manzese mpaka mjini kati ni approx. 7 Km halafu kwa usafiri huchukui si chini ya dakika 7 au 8 kufika mjini via best public transport in EA ( BRT )

Haya sasa tuambie with Nganya kutoka Kibera hadi CBD inachukua muda gani kufika?

Same to Tandale pia
 
Tatizo ni kuwa, jiji linakua kwa kasi na tayari eneo hilo a few yards away kuna ghorofa lenye floor 18, pembeni kidogo BOT towers. Hilo eneo sio safe tayari na ikulu ikiamia Dodoma, sio kwamba eti hilo jengo litasaulika. Likigeuzwa kuwa museum, historia yake itatunzwa kuliko kuwa "presedential lodge" ambapo rais atakuwa anakaa mara 5 kwa mwaka.
Sijakataa likiwa na matumizi zaidi kama museum pia ila majengo yabaki kama yalivyo! Hamna kujenga zaidi bali maintenance na restoration. Ila kumbuka hata JPM akienda Dodoma, atakuwa anakuja Dar kila mara tena kumbuka kuna JK Hall mle ndani!
 
Sijakataa likiwa na matumizi zaidi kama museum pia ila majengo yabaki kama yalivyo! Hamna kujenga zaidi bali maintenance na restoration. Ila kumbuka hata JPM akienda Dodoma, atakuwa anakuja Dar kila mara tena kumbuka kuna JK Hall mle ndani!
This place is so beutiful! lakini JK hall si ipo nje au ni mimi ndo nakosea? Nilikuwa na picha yake, ngoja niitafute
P1010598-b-615x435.jpg
pic04-col-615x435.jpg
130702125433-04-obama-africa-0702-horizontal-large-gallery.jpg
 
Jengo Kwa sasa wanakaa viongozi wengi wa serikali na maeneo mengine watu wa kawaida. Kuna majudge, hadi msigwa wa ofisi wa Rais anakaa hapo. Niliwahi panda juu kule nikatungua mipicha nikala kona, Ulinzi sio sana wiki hiyo Ila kuna siku nilikua floor ya kumi Na kitu pale juu kuna mwenyeji alisema huwa watu wanakuja kama wakiona kuna kitu suspicious. Mi huwa sielekezi Camera upande ule wa Ikulu hata siku moja .
Hiv Una camera aina gani.nikanunue hiyo
 
Back
Top Bottom