iam_paco
JF-Expert Member
- Aug 28, 2019
- 408
- 688
Unazingua wew kuna miji mikubwa mingi tu na haina skyline kubwa miundombinu kwanza then investment za majengo zianze ata hvyo it doesnt mean tutachil tu bila kujenga, majengo yatashushwa tu
Jiji la kisasa linafaa kuendana na skyline ya maana la sivyo itakuwa underdog
