Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We kenge hiyo picha iko planned kwani huoni? Lete Dar is slum tufananishe usijifariji 70% ya Dar is the continuous mega slum fishing village
Haya cheki ya dar hii hapa hata ulaya tunaanza kuipa tabu ,sasa wakenya wekeni ya nai ndege ikipita juu yake utaona nai ilivyo ndogo hapo ndege imepita wilaya ya ILALA PEKE YAKE DAR INA WILAYA 3
 
Haya cheki ya dar hii hapa hata ulaya tunaanza kuipa tabu ,sasa wakenya wekeni ya nai ndege ikipita juu yake utaona nai ilivyo ndogo hapo ndege imepita wilaya ya ILALA PEKE YAKE DAR INA WILAYA 3
siyo poa mzee hao huwa hawana akili wanadhani dar yote ipo unplanned ,,ni hiko ni kipisi tu cha dar
 
We kenge hiyo picha iko planned kwani huoni? Lete Dar is slum tufananishe usijifariji 70% ya Dar is the continuous mega slum fishing village
Walikuwa wanajadili kuhusu tall buildings na sio planning,usipende kudandia train kwa mbele,ni hatari!
 
Infrastructure as mbukinya says
 

Attachments

  • IMG_20190914_141919_199.jpg
    IMG_20190914_141919_199.jpg
    54.7 KB · Views: 17
Jamani hakuna kipisi cha ardhi tz ambacho hakijapgwa lami hadi uko maporini, in infrastructure hakuna nchi apa africa mashariki inayoipiku Tz, wakenya kibao wamethibitisha hilo, wageni kibao wameongea kama wazambia ndo usiseme, tourists kibao wanasifia miundombinu nje ya dar ni mizur kinyama. Nashangaa majirani wajisifia madaraja ya nairob ambayo sis ndo tunamalizia interchange ya ubungo na flyover za kule jkt soon na sisi tutakua nazo, BRT phase 2, SGR ya umeme phase1 and 2, maproject ya estates zanzibar, kigamboni na arusha, mpango wa kukuza ubungo as dar second biggest town after posta tukimaliza ile interchange, listand la station ya sgr zinaunganishwa na brt kinatolewa kitu watu hawajawahi ona africa mradi wa umeme ambao utakua mkubwa east africa, na kupendezesha fukwe kutoka coco beach adi sarenda tukianza na ule mdaraja wa kucross bahar ***** kumbukeni sijataja vitu vya on paper hapo hzo ni project ambazo zipo on action dah jaman Tz mwaka 2021-22 sjui tutakuaje ndugu zangu
Infrastructure as mbukinya says
 
wanajifanyaga wako juu hawajui kama tz tuna majiji matano wakat wao wana mawili tu mana hata hiyo kisumu ni kama manispaa ya moshi
Baada ya diesel train yao juu ya SGR, Kenya imebakiwa na jiji kubwa moja Nairobi tu. Na jiji linaloporomoka kuwa ghost city Mombasa.

Hawa jamaa watu wabaya sana, wanaipausha Msa jumla jumla bila huruma. Biashara za mahotel huko zinakufa tu na migahawa kisa clearance zote dry port Nairobi. SGR inabebeshwa kilazima kutafuta hela za mchina.
 
Jamani hakuna kipisi cha ardhi tz ambacho hakijapgwa lami hadi uko maporini, in infrastructure hakuna nchi apa africa mashariki inayoipiku Tz, wakenya kibao wamethibitisha hilo, wageni kibao wameongea kama wazambia ndo usiseme, tourists kibao wanasifia miundombinu nje ya dar ni mizur kinyama. Nashangaa majirani wajisifia madaraja ya nairob ambayo sis ndo tunamalizia interchange ya ubungo na flyover za kule jkt soon na sisi tutakua nazo, BRT phase 2, SGR ya umeme phase1 and 2, maproject ya estates zanzibar, kigamboni na arusha, mpango wa kukuza ubungo as dar second biggest town after posta tukimaliza ile interchange, listand la station ya sgr zinaunganishwa na brt kinatolewa kitu watu hawajawahi ona africa mradi wa umeme ambao utakua mkubwa east africa, na kupendezesha fukwe kutoka coco beach adi sarenda tukianza na ule mdaraja wa kucross bahar ***** kumbukeni sijataja vitu vya on paper hapo hzo ni project ambazo zipo on action dah jaman Tz mwaka 2021-22 sjui tutakuaje ndugu zangu

hawa manyang,au
 
Back
Top Bottom