Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

NAKS...
1568385213094.png

1568385258586.png
 
bora umemchana anahisi maopen space au sehemu inayoonekana box view ndiyo iliyopangika hajui kama 99,% ya miji iliyoendelea huwa na muonekano kama huu na hiyo yote kwasababu yakujengeka sana View attachment 1206469
We kenge hiyo picha iko planned kwani huoni? Lete Dar is slum tufananishe usijifariji 70% ya Dar is the continuous mega slum fishing village
 
Halafu yakiona dar vile imejengeka kama hvi wanasema dar ni jangwa, nachekaga sana labda dar ni jangwa la magorofa mana east africa hamna city yenye ghorofa nyingi kushinda dar, tukianzia floor 20.
bora umemchana anahisi maopen space au sehemu inayoonekana box view ndiyo iliyopangika hajui kama 99,% ya miji iliyoendelea huwa na muonekano kama huu na hiyo yote kwasababu yakujengeka sana View attachment 1206469
 
We kenge hiyo picha iko planned kwani huoni? Lete Dar is slum tufananishe usijifariji 70% ya Dar is the continuous mega slum fishing village
oi nimekupa like enjoy your life.....maana kunguru ni kunguru tu....upo na wenge za hatari[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanajifanyaga wako juu hawajui kama tz tuna majiji matano wakat wao wana mawili tu mana hata hiyo kisumu ni kama manispaa ya moshi
Hayo ni matunda yakuto pendelea ukanda mmoja. Moshi ingekua Kenya ingekua Jiji kitambo sana.
 
Back
Top Bottom