babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 13,308
- 35,739
Estate ni kipimo kuwa wakenya hamna uwezo wa kumiliki ardhi [emoji23][emoji23][emoji23]
Kenya ina wenyewe nyie mpo mpo tu,
Unajivunia kukaa estate kwenye jamu na kelele.
Kenya ina wenyewe nyie mpo mpo tu,
Unajivunia kukaa estate kwenye jamu na kelele.
Kwani estate sio kumiliki ardhi na nyumba ya mtu binafsi ? Wewe ni mjinga kabisa ,kwanza hizo estate ndizo zina mipangilio na ujenzi wa hali ya juu sio kama Dar mnajenga ki holela holela.