Pole sana mr price
Pole sana south africa kwa kuwekeza kwenye failed state
Naomba picha ya Nairobi eneo lililojaa magorofa kama hapa.Hatari sana🔥🔥🔥🔥View attachment 1203424
Hutawaona tena hapa😂😂😂😂Naomba picha ya Nairobi eneo lililojaa magorofa kama hapa.
Daaah aseee.Unafikiri mimi ni kama wewe unayelipwa Na sisiemu kutrol wakenya hapa ndani? Wengine wetu tuko na kazi za kufanya, sio kushinda humu ndani usiku na mchana
Taratibu braza, unataka wakimbie au?Naomba picha ya Nairobi eneo lililojaa magorofa kama hapa.



Hilo eneo lilikua limezungukwa na wana kijiji.. hiyo bilioni 12 itakua imewavua wote. Hii ikulu itakua na eneo kubwa mnoIkulu mpya inayojengwa dodoma
wataelewa tu hawa nyang'auIkulu mpya inayojengwa dodoma
.. pia uwanja huu tutaweza kuutumia kwa mashindano ya olympics kwa East Africa, SADC au Afrika nzima (thou sijui taratibu za michezo ya olympics). Na kwakuwa uwanja huu utakuwa na space ya michezo mingi, bas wachezaji wetu wataweza kuutumia huu uwanja kwa maandaliz ya michezo mikubwa huko Ulaya au USA kama
mkuu umenena jambo zuri sana .....naomba wahusika walipitie hili nakulizingatiapamoja na mahitaji mengi yanahitajika Tanzania, napenda sana kuona Tanzania ina viwanja vya mpira vya kisasa. Huwa nawazaga yafuatayo mawil yafanyike
1. siku NSSSF washirikiane na serikali kujenga uwanja wa mpira wa kisasa mkoani Morogoro. Morogoro is a gate route from Dar to Dodoma and other regions (business route). Dar na Dodoma (to be built) tayar kuna viwanja vya kisasa, so wapenda mpira ni rahis kumove btn these three regions for football recreation. Morogoro pia itapita train ya umeme
2. Tanzania National Parks ishirikiane na serikali kujenga Olympic Stadium mkoani Arusha. Si lazima michezo yote ya olympics iwepo lakini iwepo ile itayoweza kuwa occupied ndan ya uwanja mkubwa. Arusha ni mkoa wa kitalii na National Parks inahusika na utalii (nadhan umeelewa lengo nilalotaka kusema, nisiende mbal sana).... pia uwanja huu tutaweza kuutumia kwa mashindano ya olympics kwa East Africa, SADC au Afrika nzima (thou sijui taratibu za michezo ya olympics). Na kwakuwa uwanja huu utakuwa na space ya michezo mingi, bas wachezaji wetu wataweza kuutumia huu uwanja kwa maandaliz ya michezo mikubwa huko Ulaya au USA kama
• tennis,
• sprint,
• track running or combined running,
• kuna ule mchezo wa kuruka kweny mchanga,
• kuna ule mchezo wa kurusha vitu vizito
• kuna ile michezo ya kurusha mishale
• kuna ile michezo ya kuruka juu ya poles kubwa na kudondokea vitandani
• indoor diving or swimming ,
• jumping or horse riding
• na michezo mengine mingi tu pamoja inayohusisha walemavu
tanzania hatuna viwanja vingi vya michezo hivyo huu wa olympics (i wish ujengwe) utakuwa kama sport center ya michezo yote in one place.
NI MAWAZO TU![]()
mkuu umenena jambo zuri sana .....naomba wahusika walipitie hili nakulizingatia

Continued portrayal of your ignorance. I choose to remain silent on this.We fala hukujua mm nini namaanisha kaa kimya.
Huna cha kunifundisha kwasababu umekurupukia post haikuhusu kaa kimya.
Huna cha kunifundisha wewe.
Hiyo Gdp per capita haihusian na provision of social services wala hyo Nominal GDP ppp haihusiani na provision of social well-being kuku ww.
Maji safi,Shule,mahospitali huduma za kijamii zote na maendeleo mengine ya uchumi km miundombinu huchagizwa na mapato ya serikali sio GDP FALA ww.
Bro am done with you can you stop plz.Continued portrayal of your ignorance. I choose to remain silent on this.
Grants kama kawaWorld Bank gives USD 16 mln for construction of ICT academy in Tanzania
ICT experts from the US-based Massachusetts Institute of Technology (MIT) have already promised to share their expertise with the centre's students and trainers.
![]()
World Bank gives USD 16 mln for construction of ICT academy in Tanzania
The World Bank (WB) has disbursed over USD 16 million to the Dar es Salaam Institute of Technology (DIT) for construction of a regional flagship ICT centre. Some of the centre's main tasks include practical trainings in cyber security, an item on the East African Community (EAC) agenda, DIT...t.co
