Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mtangoja sana
tapatalk_1567974686344.jpeg
tapatalk_1567974677044.jpeg
tapatalk_1567974699113.jpeg
tapatalk_1567800161055.jpeg
tapatalk_1567800143694.jpeg
tapatalk_1567976066461.jpeg
tapatalk_1567714672635.jpeg
tapatalk_1567714679857.jpeg
tapatalk_1567797712229.jpeg
 
Hahahahahhahahahahahahahah Daaah kaka we jamaa kabila gani ????!!!!!
Daahh JF sitoki inanipunguzia uchovu mwingi kwa kucheka.
wakenya wananiomba niwe mkikuyu.......

nikiingia DM yangu hawa wakora wananiomba eti nibadilishe uraia nilipowaona mapimbi eti wanataka wanipe banda kibera ....hapo ndipo niliwagunfua kuwa wanaakili za kunguni
 
wakenya wananiomba niwe mkikuyu.......

nikiingia DM yangu hawa wakora wananiomba eti nibadilishe uraia nilipowaona mapimbi eti wanataka wanipe banda kibera ....hapo ndipo niliwagunfua kuwa wanaakili za kunguni
Hahahaah daaadh kweli aisee hii JF.
 
Ahaaa mpendwa upo????
Nilidhani umelala maana usiku mnene huu.
Nyie hamna railway station mna utumbo wa kuku.
Subirieni sisi tukamilishe na tukarabati zetu muone kazi.
Unafikiri mimi ni kama wewe unayelipwa Na sisiemu kutrol wakenya hapa ndani? Wengine wetu tuko na kazi za kufanya, sio kushinda humu ndani usiku na mchana
 
Back
Top Bottom