stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 37,207
- 36,435
Viwanja wa Fumba na Arisha havijaanza kujengwa wakati mmoja! Wacha kuropoka!Ni vile tu ule uwanja ni mdogo tunaweza sema maybe tuone kama watakimbiza ila by now ilitakiwa ile stage ya arusha ndo viwanja vyote viwe, kwa lugha nyepesi saaahv inatakiwa unafanya finishing baada ya mwezi wa 12 ndo final hakuna extension tena
also yule waziri wa michezo wa kenya alisafiri kwenda rwanda kuomba viwanja vyake vitumike kama training pitch, ukijumlisha ule uwanja wa ngong nao ndo kwanza wanarudia tena kupanda nyasi 😭 😭 😭 😭
its true but deadline ni january kumbukaViwanja wa Fumba na Arisha havijaanza kujengwa wakati mmoja! Wacha kuropoka!