Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bunju, Tegeta, mbezi beach, sinza,kimara, Tabata segerea na kinyerezi, kigamboni, makongo, mikocheni, hzi ndiyo sehem wanakaa washua tupu wa tanzania na ndzo sehem zinaongoza kwa msongomano wa magar kwasababu ya population kubwa ya sehemu hizi. Maeneo haya ni yamedevelop ile mbaya japo yapo mbala sana na mjini

Mbagala, Temeke, gongo la mboto, kinondoni, magomeni, buguruni, ubungo, na Tabata hzi ni sehemu za watu mchanganyiko, high na middle class. Ukitoa kariakoo posta, upanga na kijito nyama haya maeneo ndio yanayofuata kuwa na maendeleo na majengo marefu, Huku kupo juu kimaendeleo na biashara na masoko yote ukiondoa kariokoo ndo yapo katka maeneo haya.

Tandale,na manzese ndo sehem zanye sifa ya kua na watu wa uwezo wa kawaida na middle class, pia kumbuka manzese ni sehem yenye taller skyscrappers na masoko na watu hawa wana nyuma nzur na malazi but co slums, ni tu niwachache in numbers. So usiropokwe tu kwakuwa umejaaliwa domo kubwa.
You are always angry 99% of the time. You can't write two sentences without throwing insults. This is a characteristic depicted mostly by people who are socially and economically deprived. Am not your sisiemu government, maybe you can direct your anger there.
 
Kuna maeneo kama msasani, masaki, oysterbay mikocheni A, kawe, kunduchi, ununio, huko ni washua tu, cna haja ya kuelezea coz ni maeneo famous hata wakenya nahisi mnajua
Bunju, Tegeta, mbezi beach, sinza,kimara, Tabata segerea na kinyerezi, kigamboni, makongo, mikocheni, hzi ndiyo sehem wanakaa washua tupu wa tanzania na ndzo sehem zinaongoza kwa msongomano wa magar kwasababu ya population kubwa ya sehemu hizi. Maeneo haya ni yamedevelop ile mbaya japo yapo mbala sana na mjini

Mbagala, Temeke, gongo la mboto, kinondoni, magomeni, buguruni, ubungo, na Tabata hzi ni sehemu za watu mchanganyiko, high na middle class. Ukitoa kariakoo posta, upanga na kijito nyama haya maeneo ndio yanayofuata kuwa na maendeleo na majengo marefu, Huku kupo juu kimaendeleo na biashara na masoko yote ukiondoa kariokoo ndo yapo katka maeneo haya.

Tandale,na manzese ndo sehem zanye sifa ya kua na watu wa uwezo wa kawaida na middle class, pia kumbuka manzese ni sehem yenye taller skyscrappers na masoko na watu hawa wana nyuma nzur na malazi but co slums, ni tu niwachache in numbers. So usiropokwe tu kwakuwa umejaaliwa domo kubwa.
 
I thought strabag could win sec phase tender but they didn't

Back then when BRT was under construction
Screenshot_2019-09-07-13-09-08-1.jpg
 
Bunju, Tegeta, mbezi beach, sinza,kimara, Tabata segerea na kinyerezi, kigamboni, makongo, mikocheni, hzi ndiyo sehem wanakaa washua tupu wa tanzania na ndzo sehem zinaongoza kwa msongomano wa magar kwasababu ya population kubwa ya sehemu hizi. Maeneo haya ni yamedevelop ile mbaya japo yapo mbala sana na mjini

Mbagala, Temeke, gongo la mboto, kinondoni, magomeni, buguruni, ubungo, na Tabata hzi ni sehemu za watu mchanganyiko, high na middle class. Ukitoa kariakoo posta, upanga na kijito nyama haya maeneo ndio yanayofuata kuwa na maendeleo na majengo marefu, Huku kupo juu kimaendeleo na biashara na masoko yote ukiondoa kariokoo ndo yapo katka maeneo haya.

Tandale,na manzese ndo sehem zanye sifa ya kua na watu wa uwezo wa kawaida na middle class, pia kumbuka manzese ni sehem yenye taller skyscrappers na masoko na watu hawa wana nyuma nzur na malazi but co slums, ni tu niwachache in numbers. So usiropokwe tu kwakuwa umejaaliwa domo kubwa.
Lol. Taller skyscrapers in Mazense? 😂 😂
 
Kuna maeneo kama msasani, masaki, oysterbay mikocheni A, kawe, kunduchi, ununio, huko ni washua tu, cna haja ya kuelezea coz ni maeneo famous hata wakenya nahisi mnajua
nawadhukuru aerial view ya maeneo mengi hatujapiga
 
Jamani, Avic Town is a very small housing project consisting of just 150 housing units in one of the furthest ends of Dar and is the first gated community in Dar. That's not even a quarter of Nyayo estate for example. Ni mradi mdogo sana, unless it was expanded in subsequent phases
Not the first gated community tbh...kuna Dar villas ,reagent estate,ada estate ,etc
 
Not the first gated community tbh...kuna Dar villas ,reagent estate,ada estate ,etc
Wakiambiwa hawaijui Dar wanalia lia, kazi kuokoteza picha za google Tandale na Manzese
Wanaokoteza aerial photo za hizo sehem ndo wanashikilia bango

Dar ni zaidi ya tower tatu zile, Kijitonyama na zile aerial view za Tandale na Manzese
 
Back
Top Bottom