tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Barabara hamna uko midoinkamukantri?Nairobi extends to Ngong area in Kajiado county
Barabara hamna uko midoinkamukantri?Nairobi extends to Ngong area in Kajiado county
CONTINUE REALIZING
You are always angry 99% of the time. You can't write two sentences without throwing insults. This is a characteristic depicted mostly by people who are socially and economically deprived. Am not your sisiemu government, maybe you can direct your anger there.
Bunju, Tegeta, mbezi beach, sinza,kimara, Tabata segerea na kinyerezi, kigamboni, makongo, mikocheni, hzi ndiyo sehem wanakaa washua tupu wa tanzania na ndzo sehem zinaongoza kwa msongomano wa magar kwasababu ya population kubwa ya sehemu hizi. Maeneo haya ni yamedevelop ile mbaya japo yapo mbala sana na mjini
Mbagala, Temeke, gongo la mboto, kinondoni, magomeni, buguruni, ubungo, na Tabata hzi ni sehemu za watu mchanganyiko, high na middle class. Ukitoa kariakoo posta, upanga na kijito nyama haya maeneo ndio yanayofuata kuwa na maendeleo na majengo marefu, Huku kupo juu kimaendeleo na biashara na masoko yote ukiondoa kariokoo ndo yapo katka maeneo haya.
Tandale,na manzese ndo sehem zanye sifa ya kua na watu wa uwezo wa kawaida na middle class, pia kumbuka manzese ni sehem yenye taller skyscrappers na masoko na watu hawa wana nyuma nzur na malazi but co slums, ni tu niwachache in numbers. So usiropokwe tu kwakuwa umejaaliwa domo kubwa.
Hiweziona Kwa sababu umepumbazwa na uzalendoBado naiona poa tu dosari ni ndogo sana
Sasa hii ndio picha imetoa the real Dar. Sio zile zingine zimepangwa in certain anglesI thought strabag could win sec phase tender but they didn't
Back then when BRT was under construction View attachment 1200651
Lol. Taller skyscrapers in Mazense? 😂 😂Bunju, Tegeta, mbezi beach, sinza,kimara, Tabata segerea na kinyerezi, kigamboni, makongo, mikocheni, hzi ndiyo sehem wanakaa washua tupu wa tanzania na ndzo sehem zinaongoza kwa msongomano wa magar kwasababu ya population kubwa ya sehemu hizi. Maeneo haya ni yamedevelop ile mbaya japo yapo mbala sana na mjini
Mbagala, Temeke, gongo la mboto, kinondoni, magomeni, buguruni, ubungo, na Tabata hzi ni sehemu za watu mchanganyiko, high na middle class. Ukitoa kariakoo posta, upanga na kijito nyama haya maeneo ndio yanayofuata kuwa na maendeleo na majengo marefu, Huku kupo juu kimaendeleo na biashara na masoko yote ukiondoa kariokoo ndo yapo katka maeneo haya.
Tandale,na manzese ndo sehem zanye sifa ya kua na watu wa uwezo wa kawaida na middle class, pia kumbuka manzese ni sehem yenye taller skyscrappers na masoko na watu hawa wana nyuma nzur na malazi but co slums, ni tu niwachache in numbers. So usiropokwe tu kwakuwa umejaaliwa domo kubwa.
nawadhukuru aerial view ya maeneo mengi hatujapigaKuna maeneo kama msasani, masaki, oysterbay mikocheni A, kawe, kunduchi, ununio, huko ni washua tu, cna haja ya kuelezea coz ni maeneo famous hata wakenya nahisi mnajua
Hii picha ya muda, hapo sasa hivi si kuna foot bridge..New bagamoyo road
View attachment 1200495
Mukuru inakimbiza kibera kwa ujinga,mnavunja record zenu wenyewe[emoji38][emoji38]Hiweziona Kwa sababu umepumbazwa na uzalendo
Hv ulimaliza form4?
Na hapo Ni manzese kama ulikua hujuiSasa hii ndio picha imetoa the real Dar. Sio zile zingine zimepangwa in certain angles
Manzese Kwa Mfuga Mbwa hii, cheki ilivo na vijigorofa vya kuzugia kama NgaraI thought strabag could win sec phase tender but they didn't
Back then when BRT was under construction View attachment 1200651
Ajue wapi...!! kazi kukazana na ile picha ya Morogoro Road stripNa hapo Ni manzese kama ulikua hujui
Not the first gated community tbh...kuna Dar villas ,reagent estate,ada estate ,etcJamani, Avic Town is a very small housing project consisting of just 150 housing units in one of the furthest ends of Dar and is the first gated community in Dar. That's not even a quarter of Nyayo estate for example. Ni mradi mdogo sana, unless it was expanded in subsequent phases
Wakiambiwa hawaijui Dar wanalia lia, kazi kuokoteza picha za google Tandale na ManzeseNot the first gated community tbh...kuna Dar villas ,reagent estate,ada estate ,etc
Unamaanisha hii Mazense hapa chini ama kuna mazense ingine? 😂 😂Na hapo Ni manzese kama ulikua hujui
Manzese ndio hyo hyoUnamaanisha hii Mazense hapa chini ama kuna mazense ingine? [emoji23] [emoji23]
View attachment 1200788