Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 22,140
- 17,875
Sehemu kuwa na ghorofa sio hoja. Hata Kariobangi manayosema ni slum 90% za nyumba huko ni magorofa, tena ndefu kushinda hizo vigorofa viwili vitatu ninazoona hapo.Manzese Kwa Mfuga Mbwa hii, cheki ilivo na vijigorofa vya kuzugia kama Ngara
Af kuna wadau wanataka kufananisha Kibera na Manzese, daaah
Picha imepigwa kutoka Shekilango