Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Airport hotel
tapatalk_1567804830166.jpeg
 
We've travelled and seen 90% of tanzanian living in squalor uswazis........deny or accept..that's upto you abd and your people
Wewe ni mjinga. Nashangaa sana unavyojaribu kuforce watanzania waishi maisha kama nyie mbweha. We are geographically, culturally, economically, and stylistically different. For instance, folks in the UK don't live in houses that are exactly the same as those of folks in the US! You should know better sio kulazimisha tuishi kwenye aina za nyumba mnazoishi nyie. Kuna aina nyingi sana za properties siku hizi, from gated communities, to apartments, to duplexes you name it lakini hiyo stereotypical idea iliyoko kwenye bichwa lako empty itoe kabisa.
 
Wewe ni mjinga. Nashangaa sana unavyojaribu kuforce watanzania waishi maisha kama nyie mbweha. We are geographically, culturally, economically, and stylistically different. For instance, folks in the UK don't live in houses that are exactly the same as those of folks in the US! You should know better sio kulazimisha tuishi kwenye aina za nyumba mnazoishi nyie. Kuna aina nyingi sana za properties siku hizi, from gated communities, to apartments, to duplexes you name it lakini hiyo stereotypical idea iliyoko kwenye bichwa lako empty itoe kabisa.
You are always angry 99% of the time. You can't write two sentences without throwing insults. This is a characteristic depicted mostly by people who are socially and economically deprived. Am not your sisiemu government, maybe you can direct your anger there.
 
Ccm has told them that they are ok.....who are we to question the lie[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
We've travelled and seen 90% of tanzanian living in squalor uswazis........deny or accept..that's upto you abd and your people
Traveled? I have been living here for years! ulikuwa unaenda kwenye informal settlements au? maana mimi nikienda nairobi halafu nikaenda kibera nikaja kuwaambia marafiki zangu kuwa nairobi ni slums tupu unadhani kuna fairness yoyote? chunga mdomo wako na maneno unayoyasema sio kuamka asubuhi na ideas za ndotoni halafu unazibwabwaja hapa.
 
You are always angry 99% of the time. You can't write two sentences without throwing insults. This is a characteristic depicted mostly by people who are socially and economically deprived. Am not your sisiemu government, maybe you can direct your anger there.
You have no idea who you are up against and more importantly, my life is too good to be angry at a pathetic creature like you! I am never angry, I just throw insults because they are much easier to describe a person like you. Seriously, I speak to everybody else very well but with you, things take a drastic turn. Maybe it's not me you should be worried about, you should worry about yourself!
 
Is that what you want to compare with kilimani?
I have a strong reason to believe that you recently just woke up. I never said any word that even rhymes with "kilimani". And yes, I accept the challenge!
 
Post aerial view ya Kijitonyama mimi pia nipost aerial view ya Kilimani.No side view please.
Unataka kuprove nini haswa? Kwasababu nimeshakwambia kuwa kama unataka kuleta insults kuhusiana na nyumba zilizoko nyuma ya majengo hayo nimekwambia, this is just the start, things will indeed get better. Hilo eneo halikuwa na majengo marefu miaka michache tu iliyopita lakini leo lipo hivyo.
 
Unataka kuprove nini haswa? Kwasababu nimeshakwambia kuwa kama unataka kuleta insults kuhusiana na nyumba zilizoko nyuma ya majengo hayo nimekwambia, this is just the start, things will indeed get better. Hilo eneo halikuwa na majengo marefu miaka michache tu iliyopita lakini leo lipo hivyo.
Basi acheni kuifananisha na Kilimani. Hata Kileleshwa is far much ahead of it.
 
Kuhusu hizo za data ya idadi ya middle class kama ndo mnaongoza EA sawa nitakubali according to data zako

Ila kuhusu gap btn walionacho na wasiokua nacho, gap yenu ni kubwa mnoo

Kwa sisi kibongo bongo those places ambazo mnalilia kama ni slums hao watu mnaowaita middle class kwenu huku uswahilini kwetu wapo wengi tuu wana majumba ya maana plus magari ya maana lkn yapo uswazi

Kwa kigezo hicho means kwamba gap yetu baina ya middle class na poor people sio kubwa pia

Ila nyie wa Kibera wa Kibera, wa Karen wa Karen au Lavington wa Lavington
What is your understanding of the word "gap between the rich and the poor"? It doesn't mean that if a poor man and a rich man live in the same neighborhood, then the gap between these two people is small. It is all about numbers, not where people live. It is not about Lavington or kibera. It is about how many people can afford to live in Lavington compared to those who can afford to live in Buru Buru or South B and others who can only afford life in kibera and other slums. That's what it's all about so you have completely missed the point
 
Hivi huwa mnadhani mkiandika insha za kinge ndo itakua ni kweli au ndo mtamake sense [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapana asee we know Kenyan asee ni Watu wa aina gani


I have already told you that Kibera has not stopped your countrymen from begging on our streets from dawn to dusk. Leta mada nyingine sasa
 
Quit the drugs you are using. That's not an excuse! we don't want to live the lives you are living, LET US BE BITCHES!!!!!! Mnadhani nyie ndio mnaishi kwenye nyumba nzuri? ninaishi kwenye nyumba yangu, yenye swimming pool kwenye back yard na year round green lawn. Wewe unaishi kwenye hizi apartment mshenzi? unakaa unaangalia tv ukila chips na kuzidi kuwa fat
View attachment 1200554View attachment 1200555
Daaah Nicxie kwahiyo hizi ndo middle class zenu kumbee!!!
Basi mna safari ndefu
 
I
Quit the drugs you are using. That's not an excuse! we don't want to live the lives you are living, LET US BE BITCHES!!!!!! Mnadhani nyie ndio mnaishi kwenye nyumba nzuri? ninaishi kwenye nyumba yangu, yenye swimming pool kwenye back yard na year round green lawn. Wewe unaishi kwenye hizi apartment mshenzi? unakaa unaangalia tv ukila chips na kuzidi kuwa fat
View attachment 1200554View attachment 1200555
if Umoja estate above is a slum, then I don't know what I would call these dream houses. Hell on earth? 😱😱
gettyimages-169758289-612x612.jpg
infomal.jpg

Dar-es-Salaam-masterplanning-London_07253e55b7ca164b8d0056b8f5e17f5d.jpg
 
Umeona Oyster Bay,Msasani and Masaki areas of Dar es Salaam? Huko ndio wazungu ,Waarabu and Wahindi wanaishi Dar Es Salaam na nyie mnaishi Tandale ,Manzese na slum areas zingine nyingi.
Unajidanganya.
Oysterbay,Masaki,Mbezi beach kote huko wapo waswahili kibbaaaao kama haujui
 
Back
Top Bottom