Embu zoom hzo pic halafu uone kuna nyumba za mabati km kwenu???!!!!So hiyo ni slum ndani ya Nairobi ila hii hapa ni middle income estate ya Dar [emoji23] [emoji23] [emoji23] Aliyewaroga alikufa kitambo sana
View attachment 11980135
Kuna mwenzio nilimletea pic zilizokuwa zoomed za manzese nikamuonesha hakuna nyumba ya mabati km kariobangi nataka uzoom then upafananishe na kariobangi.