Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

iko hivi buda,kiswahili kilianzia kilifi na lamu,sawa.

lakini kiswahili kinachopendwa na watu wengi EA na wale wa kutoka mataifa mengine nje ya EA,ni kiswahili cha tz.

wenyewe wanasema kiswahili cha tz kina madoido (swag) na kinaleta raha pale unapomsikia mtu anazungumza.

hata wadada warembo wa kisasa wa nairobi wanavutiwa sana kiswahili cha vijana wa kiume wa tz kuliko kile kiswahili cha vijana wa nairobi,mombasa,kilifi na lamu.

nimeshuhudia mara kadhaa nikiwa nairobi,vijana wengi waki-struggle ku- master kiswahili cha tz.hii ni kuonyesha ni kiasi gani kiswahili cha tz kinapendwa sana ukanda huu.

kingereza pia,japo asili yake ni wazungu wa united kingdom,lakini watu wengi duniani wanavutiwa na kingereza chenye lafudhi ya kimarekani.

hata hapo kenya,vijana wanaomudu kuzungumza kingereza,wanapenda kuzungumza kama wamarekani,mfano mwanamuziki caligraph jones na prezzo.

huo ndio ukweli buda,kama utaamua kubisha,wewe bisha tu ila ni ngumu kupinga ukweli.
Kiswahili ya Mombasa in same na ya Tz msee....izo hadithi zako ni opinions zako wala si facts
 
Kiswahili ya Mombasa in same na ya Tz msee....izo hadithi zako ni opinions zako wala si facts
kuna tofauti kubwa sana ya kilafudhi kati ya kiswahili cha tz na kiswahili cha kimombasa.

hata hivyo bado ukweli upo pale pale,kiswahili cha kitz ndio kiswahili kinachopendwa zaidi ukanda wa EA kuliko kiswahili cha kikenya.

hata wewe mwenyewe hapo ulipo nafsini mwako,unatamani ungekuwa unamudu kuzungumza na kuandika kiswahili kitamu chenye swag cha tz.ni bahati mbaya tu huwezi.
 
Bongo
g436876.jpg
 
Juu nadhani ni tofauti sana...nielimishe basi.
Wale huchanganya "r" n.a. "l" hutoka wapi?
 
Back
Top Bottom