Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar Es Salaam
ca21e7cd5e197cb1a6fa4b71bfcffe53.jpg
dec7fa3186364d67b85b2b38f12c9d28.jpg
 
People should get one thing right Kenyas infrastructure was worse for the 28 years Moi was in power ,but mzee moi valued education, thats y our education system is good, infrastructure development only started with the Mwai kibaki regime and devolution is spurring it further,the Jubilee government has been serious on infrastructure too,at this rate its gonna be abit hard to play catch up
 
Hamna vya kwenu no wonder nyie kajazana hapa Kenya news and politics thread kuona yepi halisi kutoka Kenya.Basi si mrudi nyuzi zenu? Hamna lolote ni kutroll tu kazi yenu usiku kucha mchana kutwa......Tukinyamba nyie ndo wale nyuma yetu mwanusia ......
Sijaelewa ulichoandika naona unajiuma uma tu..
Au ushapendeza na kiroro🙂😀😀
 
kingereza sio kiashirio cha mafanikio ya mtu.pia sio kigezo cha kupima uwezo wa kiakili wa mtu.ni lugha tu ya kawaida kama zilivyo lugha zingine.
Huyo hua anajifanya mjuaji sana ndio maana nimemwambia kifua chake bado kidoko nasubiri akue kwanza......
 
Ichoboy ni Kama kipofu aliyefungua macho akaona punda. Na Sasa kila kitu ni kusisitiza Kama punda. Aambiwe Sandton imejengwa vizuri... Yuko Za Kama pspf ya 2017
Ichoboy anawaumiza sana vichwa au sio naona hamuishi midomoni kumtaja...
hamulali munamuota ichoboy........
FB_IMG_1494011678654.jpg
 
I hope unaelewa Kiswahili chenyewe kimeanzia sehemu za Kilifi na Lamu. Kwa hivo nikiongea cha Kilifi nimeongea Kiswahili sanifu zaidi.
iko hivi buda,kiswahili kilianzia kilifi na lamu,sawa.

lakini kiswahili kinachopendwa na watu wengi EA na wale wa kutoka mataifa mengine nje ya EA,ni kiswahili cha tz.

wenyewe wanasema kiswahili cha tz kina madoido (swag) na kinaleta raha pale unapomsikia mtu anazungumza.

hata wadada warembo wa kisasa wa nairobi wanavutiwa sana na kiswahili cha vijana wa kiume wa tz kuliko kile kiswahili cha vijana wa nairobi,mombasa,kilifi na lamu.

nimeshuhudia mara kadhaa nikiwa nairobi,vijana wengi waki-struggle ku- master kiswahili cha tz.hii ni kuonyesha ni kiasi gani kiswahili cha tz kinapendwa sana ukanda huu.

kingereza pia,japo asili yake ni wazungu wa united kingdom,lakini watu wengi duniani wanavutiwa na kingereza chenye lafudhi ya kimarekani.

hata hapo kenya,vijana wanaomudu kuzungumza kingereza,wanapenda kuzungumza kama wamarekani,mfano ni mwanamuziki caligraph jones na prezzo.

huo ndio ukweli buda,kama utaamua kubisha,wewe bisha tu ila ni ngumu kupinga ukweli.
 
iko hivi buda,kiswahili kilianzia kilifi na lamu,sawa.

lakini kiswahili kinachopendwa na watu wengi EA na wale wa kutoka mataifa mengine nje ya EA,ni kiswahili cha tz.

wenyewe wanasema kiswahili cha tz kina madoido (swag) na kinaleta raha pale unapomsikia mtu anazungumza.

hata wadada warembo wa kisasa wa nairobi wanavutiwa sana kiswahili cha vijana wa kiume wa tz kuliko kile kiswahili cha vijana wa nairobi,mombasa,kilifi na lamu.

nimeshuhudia mara kadhaa nikiwa nairobi,vijana wengi waki-struggle ku- master kiswahili cha tz.hii ni kuonyesha ni kiasi gani kiswahili cha tz kinapendwa sana ukanda huu.

kingereza pia,japo asili yake ni wazungu wa united kingdom,lakini watu wengi duniani wanavutiwa na kingereza chenye lafudhi ya kimarekani.

hata hapo kenya,vijana wanaomudu kuzungumza kingereza,wanapenda kuzungumza kama wamarekani,mfano mwanamuziki caligraph jones na prezzo.

huo ndio ukweli buda,kama utaamua kubisha,wewe bisha tu ila ni ngumu kupinga ukweli.
Inawezekana uko sahihi
 
Back
Top Bottom