game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 11,053
- 26,331
Kama ilivyo wewe Kiswahili kinavyokupiga Chenga hapa.Buda, wewe endelea tu kuongea Kiswahili. Ile chenga kiingereza kimekupuga hata Messi mwenyewe akiiona atajishika kichwa kwa mikono yote.
Kama ilivyo wewe Kiswahili kinavyokupiga Chenga hapa.Buda, wewe endelea tu kuongea Kiswahili. Ile chenga kiingereza kimekupuga hata Messi mwenyewe akiiona atajishika kichwa kwa mikono yote.
Wakenya wanadhani tumelala kumbe wao ndo wamelalaOn going ppf hq construction View attachment 509055 View attachment 509056

sasa nyinyi muko na madini kila pembe ya nchi na ardhi yenu iko fertile... still bado munapitwa na nchi ambayo haina madini yoyote ya kujivunia na ni nusu jangwa.Wakenya wanadhani tumelala kumbe wao ndo wamelala![]()
But we do feed you, remember??sasa nyinyi muko na madini kila pembe ya nchi na ardhi yenu iko fertile... still bado munapitwa na nchi ambayo haina madini yoyote ya kujivunia na ni nusu jangwa.
kill yourself
tunanunua au munatupea msaada?But we do feed you, remember??
Kama ilivyo wewe Kiswahili kinavyokupiga Chenga hapa.
Iphone7 hahaha Huyo karogwamzee wa iphone7 kaanza kutumbuka
Hicho cha Nairobi sio kiswahili bossKiswahili cha Nairobi hukiwezi wewe.
Hahahhaa sasa hutaki kuskia ukweli au?????Buda, wewe endelea tu kuongea Kiswahili. Ile chenga kiingereza kimekupuga hata Messi mwenyewe akiiona atajishika kichwa kwa mikono yote.
Sindio kazi imeanza sasa just 10 yrs munahaha je ingekua 20 hahhahahhahhasasa nyinyi muko na madini kila pembe ya nchi na ardhi yenu iko fertile... still bado munapitwa na nchi ambayo haina madini yoyote ya kujivunia na ni nusu jangwa.
kill yourself
Hizo ni zuga tu huyo jamaa hua anajiona mjanja sana kumbe mshamba sijapata onaHicho cha Nairobi sio kiswahili boss
Ni ki-kilifi.
same ol' songSindio kazi imeanza sasa just 10 yrs munahaha je ingekua 20 hahhahahhahha
Hicho cha Nairobi sio kiswahili boss
Ni ki-kilifi.
Hizo ni zuga tu huyo jamaa hua anajiona mjanja sana kumbe mshamba sijapata ona
Maana hata ushindani wake kwenye over 20 floors niliona wakijinga sana....nilimwambia kama wewe mwanaume unaejiamini tuanze upya mm nawewe kwan alirudi, hakurudi kwasababu anajua ukweli
When people avoid arguing with you because you're dumb, stupid and not knowledgeable, you think it's because they're scared of you. Kweli ujinga hauna tiba.
Ujinga hukosi wewe unaejifanya mjuaji sana nilikwambia wewe unaujuaji wakishamba ndio maana kwenye over 20 floors Kule niliona mapema bado kifua chako kidogo kua uyaone kwanza.........punguza ujuajiWhen people avoid arguing with you because you're dumb, stupid and not knowledgeable, you think it's because they're scared of you. Kweli ujinga hauna tiba.
Ujinga hukosi wewe unaejifanya mjuaji sana nilikwambia wewe unaujuaji wakishamba ndio maana kwenye over 20 floors Kule niliona mapema bado kifua chako kidogo kua uyaone kwanza.........punguza ujuaji
View attachment 509285
Hamna vya kwenu no wonder nyie kajazana hapa Kenya news and politics thread kuona yepi halisi kutoka Kenya.Basi si mrudi nyuzi zenu? Hamna lolote ni kutroll tu kazi yenu usiku kucha mchana kutwa......Tukinyamba nyie ndo wale nyuma yetu mwanusia ......