Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Juu nadhani ni tofauti sana...nielimishe basi.
Wale huchanganya "r" n.a. "l" hutoka wapi?
matumizi ya "r" na "i" ni moja ya madoido(swag) yanayofanya kiswahili cha tanzania kiwe na mvuto EA kuzidi kiswahili cha nairobi,mombasa na malindi.
 
kushrub r na l eg (luninga) ndio madoido sasa...
Tembea LAMU usikie Kiswahili safi si ya bara ya tanzania.
 
jamani hebu tuwaache hawa wakenya maana hadi kiswahili washakitamani wanataka kukiamishia kwao......aisee kweli wanatamaa...

nyie wakenya hamna lugha ....nyie ni wakudandia dandia tu
 
Zaidi ya shule elfu 24 za umma hazina hatimiliki ya ardhi zinazotumika na shule hizo na hilo limetajwa kutishia elimu ya watoto kwani shule 11,000 zimo hatarini kubomolewa au kunyakuliwa.

Maelfu ya watoto kutoka jamii maskini huenda wakakosa masomo kutokana na hali hiyo.

Kenya mtu binafsi ana chukua eneo la shule ya umma eti ni lake
Ndio maana asilimia kubwa watu wanaishi kwenye slums maana ardhi yote wamechuku ma bwanyenye
Poor Kenyans
 
Back
Top Bottom