Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

acha kuongea ujinga wewe...this njaa thing is not a joke.
na hii nayo ni humour?
020807fce4404a7d7dba143173b47e38.jpg
So that guy using some weird language knows more about kenya... And even when there are people without food in kenya does that make you proud? You feel good about it? As much as you are so irrelevant, inhumane is your character duuude, get a life!!
 
So that guy using some weird language knows more about kenya... And even when there are people without food in kenya does that make you proud? You feel good about it? As much as you are so irrelevant, inhumane is your character duuude, get a life!!
at least now you have realized that "njaa" in kunya land isn't a joke but something serious that shouldn't be taken as a humour.
 
Kazi ya watu wa Nairobi ni matusi hapa na midharau kaa mbuzi!! Sasa wivu na unafiki unawasumbua watu wa Nairobi kujisifia kumbe zero, Ati Mombasa na DAR wendawazimu kabisa huu, wameshindwa kuja na facts wanaleta maneno ya Khanga hapa.

Mada inajielezea hapo nini cha kufanya ila bado hata kusoma hawawezi kabisa wamekodoa tu, Annel niseme tu unanibariki sana tena sana tu kwa kuwa Mzalendo kwa Nchi yetu wengine hapa ni Bongolise ila sasa hata hawajui kwa nini ni Watanzania nonsense!!

More once again you Kenyans come here bring what you have in Nairobi and we do so then tutaangalia na kujifunza mengi katika haya majiji mawili. Sasa mnaachama nini leta facts mtushinde kwa facts siyo maneno ya Khanga alfu kujisifia kwimgi kumbe, haya mlikuwa mnayaganya miaka mitano iliyopita na sasa mseme tuone!!!
Na hiyo ni fact nyingine kwamba Nairobi kuna wajinga wengi kuliko Dar
 
Kumaaah moto
Najua machungu yako ya kulala njaa naona Jana ulichelewa mstari wa wa kugaiwa chakula, kuna msonali mmoja apo katikati ya jiji Nairobi napendaga sana nikija kula pilau mbuzi kwake kwa kipinde kila kuna mda alikuwa anachomekea kondoo maana mbuzi ni hadimu kenya sasa kwa baa LA njaa mgahawa nadhani atakuwa kafunga
 
at least now you have realized that "njaa" in kunya land isn't a joke but something serious that shouldn't be taken as a humour.
Your talk should match your profile picture, Unfortunately it doesn't look like it
 
Back
Top Bottom