Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mitaa flan tu hapa mjn ...View attachment 1183245
Imagine planning ingefanyika hivi across the country hata hizi dream house zingeleta maana sana.Tatizo Tzn watu wamekariri kwamba wakipima plot basi inafaa wakae watu wenye nafuu ya maisha ambao kimsingi ni wa kutafutiza majority wako kwenye squatters huko na dream houses zao
 
Dar es salaam
1566245396073.png
 
Hahaha nilijua ni Waafrika tu ndio huenda slow mpaka wasukumwe kumbe mpaka wakorea nao wapo hivyo?

Sababu toka JPM awashtukize na kuwachachafya ile siku, saivi naona kama ujenzi unaenda kwa kasi ya rocket! Sikutegemea kuona advancement kubwa hivi kwa kipindi kifupi.
ila tatizo lilikuwa vifaa vilishikiliwa dar port!
 
Hahaha nilijua ni Waafrika tu ndio huenda slow mpaka wasukumwe kumbe mpaka wakorea nao wapo hivyo?

Sababu toka JPM awashtukize na kuwachachafya ile siku, saivi naona kama ujenzi unaenda kwa kasi ya rocket! Sikutegemea kuona advancement kubwa hivi kwa kipindi kifupi.
Hii Meli mpya mweZi wa tano iko tayari
 
next time naomba useme jina la video inaitwaje (mim binafs) nikaicheck youtube!

most times nashindwa kuziplay humu! anyone anaejua namna ya kutatua hii ishu?!?! for reference, natumia iphone! thanks
Iphone gani unatumia
 
Back
Top Bottom