Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Haya maneno tumeambiwa kutoka enzi za Nyerere na bado tutazidi kuambiwa. La muhimu ni kwamba gap kati yenu na sisi inazidi kupanuka hata zaidi. Wacha tuendelee "kusujudia" mzungu.
You are always stupid.
If you don't learn now. You will learn soon or later.
Endeleeni kuwa na ukabila. We don't need you guys.
 
You are always stupid.
If you don't learn now. You will learn soon or later.
Endeleeni kuwa na ukabila. We don't need you guys.
Wewe ulie mwerevu unafanya nini LDC? Mbona umeshindwa kujinasua kutoka huko miaka hamsini tangu muwe huru na huo uerevu wako? And who said Kenya needs Tanzania? Naona umebadlisha gear kutoka Kwa "kusujudia mzungu" sasa umeenda "ukabila." Next please
 
Nairobi is not a coastal town.. This is Runda and its a highland with cool and wet climate throughout the year so having chimneys is a necessity.. Lakini wewe mjinga ujijui
How on earth would you expect a bongolala to know this?
 
Mitaa flan tu hapa mjn ...View attachment 1183245
Hii pengine ifananishe na mtaa wa Ruai in the heart of Eastlands, Nairobi

Screenshot_20190817-075258.png
Screenshot_20190817-075358.png
Screenshot_20190817-075552.png
 
So leo mumekubali ni slums!? Ichoboy should hear this
Mm nachojua dar kuna informal settlement na sio slum ww tafuta pakutafuta lakini kaa uamini mzungu sio mjinga 😆😆😆😆 yani unalazmisha kitu hakuna ili ionekane hamujashindwa ni ujinga huo👇👇👇
0C47DE89-D9EF-4371-B13A-770B2276555B.jpeg
 
1.Tumejenga uchumi kubwa kuliko zote EAC
2. We have less people living below poverty line than all our neighbours
3. We have best manpower in this region and probably one of the best in Africa
4. We have better education standards and some of the best institutions of higher learning in Africa
5. We have better infrastructure than all our neighbors
6. We have more dollar millionaires than all our neighbors
7.We have the most important city in east and central Africa and one of the most important in the continent
8. We have the biggest port in East Africa
9. We have the highest literacy levels in East Africa (actually the third highsest in Africa)

I can go on and on and on
Uchumi wenye 60% debt to GDP ratio😆😆😆 unasema nao ni uchumi??? Nashangaa kuona njaa inawakojolea kila mwaka


Usinilaumu mm chukua hiii
9C3E1DD3-B53C-4F26-865C-79EB024E5748.jpeg
B583AB30-F472-4E3F-8144-6CFF0878C7D4.jpeg

Who told u that muna best man power 😆😆 yani nimecheka mpaka basi

Better education standards alaf magorofa yanaangushwa na upepo😅😅😅😅

Muna better infastructure ya wapi?? ile BRT mulichora na rangi pale thika iko wapi😅😅 maskini pesa za taxpayers

huku tuna dollar billionare wachana millionare😆😆😆👇👇👇👇



Hio important city ni ipi??? Bila shaka utasema city of slums in the world😅😅😅😅😅
Watu wanaishi zaidi ya nguruwe

We have 4 ports and zote ziko under huge expansions huku dar ikiingia kwenye tatu bora africa baada ya expansion kuendelea🤣🤣
👇👇👇👇



Endelea kujifariji na kutafuta slum in dar 😅😅
 
Uchumi wenye 60% debt to GDP ratio unasema nao ni uchumi??? Nashangaa kuona njaa inawakojolea kila mwaka


Usinilaumu mm chukua hiiiView attachment 1183391View attachment 1183390
Who told u that muna best man power yani nimecheka mpaka basi

Better education standards alaf magorofa yanaangushwa na upepo

Muna better infastructure ya wapi?? ile BRT mulichora na rangi pale thika iko wapi maskini pesa za taxpayers

huku tuna dollar billionare wachana millionare



Hio important city ni ipi??? Bila shaka utasema city of slums in the world
Watu wanaishi zaidi ya nguruwe

We have 4 ports and zote ziko under huge expansions huku dar ikiingia kwenye tatu bora africa baada ya expansion kuendelea




Endelea kujifariji na kutafuta slum in dar
Si walikua wanaletaga threads wakisema kuwa Tz ina poverty line kubwa kushinda taifa lolote EA???
imekuaje tena
 
Pwahahaha!!! Nyie wakenya ni wapumbavu sana. Mtaendelea kuwasujudia wazungu mpaka akili ziwaingie.
Wajukuu zenu watawalani, kwa kuendekeza fikra za wazungu kuwatawala kwa kutumia virtual economy policy.
Anatafuta slum yani mzungu hakuona anafkiri kaona yeye ili ionekane kua sio nairobi pekee yenye slum 😆😆😆😆
 
Tumesaidia Africa sana kwa ewekezaji ukanda huu ,KQ imesafirisha waafrika wengi kurudi kwao ,tumeiletea sifa nyigi afrika kwa michezo duniani ,tuliipa Marekani rais mweusi wa kwanza na tunasaidia Tz kwa utalii sababu Nairobi ndio base ya makampuni makubwa Afrika yote. Don't joke with Kenya bwana .
Kq ina miaka mingapi bado inamiliki ndege 3 na inaendesha hasara miaka 7 mfululizo 😆😆 au hujui kama kq inamiliki ndege tatu tu

Nilietee ushahidi kua kenya iliipa marekane mwafrika mweusi yani uniambie nyinyie ndio muliomueka obama madarakani haha nonsense

Mumesaidia nn utalii tanzania mafala nyie munajifanya kutangaza kilimanjaro na olduvai iko kwenu alaf munasaidia nn??😆😆😆 dunia ya leo utamdanganya nani ??
 
Haya maneno tumeambiwa kutoka enzi za Nyerere na bado tutazidi kuambiwa. La muhimu ni kwamba gap kati yenu na sisi inazidi kupanuka hata zaidi. Wacha tuendelee "kusujudia" mzungu.
Gap gani??? Madeni ya mchina ndio yanaongeza GDP au hujui hio kua economy yenu sasa imefika 60% debt to GDP ratio😅😅

Endelea kutafuta slum dar ionekane sio nairobi tu😂😂😂😂😂
 
Tumesaidia Africa sana kwa ewekezaji ukanda huu ,KQ imesafirisha waafrika wengi kurudi kwao ,tumeiletea sifa nyigi afrika kwa michezo duniani ,tuliipa Marekani rais mweusi wa kwanza na tunasaidia Tz kwa utalii sababu Nairobi ndio base ya makampuni makubwa Afrika yote. Don't joke with Kenya bwana .
Obama alikua pres wa USA aliwasaidia nn apo Kenya? Nilitegemea angewafanyia kitu cha kukumbukwa lakini sijaona wala kusikia
 
Anakuja mpumbavu hapa anakwambia wana uchumi mkubwa ushuzi wa mbuzi👇👇👇👇

 
Back
Top Bottom