Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Why not with KQ with over 50 yrs of experiences?
KQ vituko vingi mnaweza kusafiri abiria 70 from Nairobi to DSM wanakwambia wanaweza kubeba vinmzigo vya abiria 50 tu, hao 20 waliobaki watatangulia mizigo yao wataisubiria jnia ije na ndege ingine baadae. Sasa nkajiuliza, kwanini wasingebeba abiria 60? au vyovyote vile kila mtu afike na mzigo wake bila kungoja? that's one of kq's habits that will never change sababu wanauroho
 
Sijui kama umenielewa nimekawmbia ukanushe kuwa Tanzagiza Ina 1500MW afu unitag nikupe Hali halisi 😂😂😂
Sijui kama umenielewa kiswahili 😆😆😆 nimekwambia niletee official source inayosema kua kenya ina MW 3800 ukipata nitag nifunge acc
 
KAREN GOLF AND CONTRY CLUB

TaKIO_5K.jpg
363899_m16.jpg
Karen-Golf-Club.jpg
1fdb1197a7784c9b8f5d907bfcc97bdd65687696.jpeg
golf13.jpg
golf_1-1000x516.jpg
karengolfimg1 (1).jpg
 
Safaricom[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kumbe huaga unaumia na kasarani kuona umetengenezwa
Endelea ku filter mm binafsi hua munanifurahisha sana😆😆😆😆 kama mulibomoa mukajenga tena sawa ntakubaliana na ww🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom