Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umama ni wewe kijana wa tandale. Unaleta picha ya hiyo flyover yenu moja then mtu akileta ya Nairobi unamuuliza kama hiyo ni maendeleo. Wewe ulipoleta hiyo yenu moja ulijiuliza kama ni maendeleo? Pimbi Wewe!
Maendeleo kwa Tanzania. Kwa Kenya ni ujinga kwasababu huwezi kujenga flyover wakati nchi inanuka njaa. Sisi kwetu ni poa maana hatuna njaa kama nyie. Umeelewa utofauti wa flyover za Tz na KE
 
Kumbuka kwamba 70% ya makazi Dar ni slums kabisa halafu mnajiita ati "biggest city in eastern Africa". Context ,context my friend hio ni muhimu sana.

We all know who is the father of slums in east africa,actually it's nairobi,nairobi is the champion of slums,with 4 major slums in the world,meanwhile kibera holds number 1 as ussual ..
 
IMG_1702.JPG



IMG_1703.JPG
 
Bado unaumia na renovations tu...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]pole sana[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]...yani ilkuwa hutaki kumbe[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
Kama mulibomoa mukajenga kasarani nyingine basi tag me[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Nadhani huo ukwel umekuingia...nairobi iko na middle class na millionaires wengi kushinda tanzania...get the fact bro...usishinde kuleta maneno ambayo hayatabadilisha uhalisia
Most of you Ni jua kali,ugali sukuma wiki na omena. ..wale wa maini na kula vinono vi wachache...
 
Kwn siku hz kula maini ni kigezo cha mtu kuwa tajiri...tanzanai bana...hko kwenu ndo manake mnaona wanaokula nyma ni matajiri..
Most of you Ni jua kali,ugali sukuma wiki na omena. ..wale wa maini na kula vinono vi wachache...
 
Naona yule jamaa wa chato kaota usiku atanunua magari na kayanunua kweli...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hku wakulima wa korosho wakuzungushwa km nzi mjini...rais bora...[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
What a stupid response....duh!!akili zako bado hazifanyi kazi..hv ukipewa nafasi uka debate kimataifa ukiulizwa hilo swali ndio utajibu hvo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]duh!!elimu tabu walai
Maendeleo kwa Tanzania. Kwa Kenya ni ujinga kwasababu huwezi kujenga flyover wakati nchi inanuka njaa. Sisi kwetu ni poa maana hatuna njaa kama nyie. Umeelewa utofauti wa flyover za Tz na KE
 
Naona yule jamaa wa chato kaota usiku atanunua magari na kayanunua kweli...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hku wakulima wa korosho wakuzungushwa km nzi mjini...rais bora...[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Vumilia plz dawa imalizike 💉💉💉💉😁😁
 
Back
Top Bottom