Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hua inaniskitisha sana kuona hakuna hata choo cha stend ya mabasi 😆😆😆 ukifika mwembe tayari unaeza sema umeingia choo cha bar
Sasa ni mji gani hapo kwenu mnaweza linganisha na Mombasa?
 
UNIVERSITY OF NAIROBI
the best University in East, West and Central Africa
UoN-SIGN.jpg
IMG_6932.jpg
UoN-Towers.jpg
mahatma-gandhi-wing-building-b-w-webb-10.jpg
Engblock_0.JPG
DSC07770.JPG
uon2-e1472804088983.jpg
Main C.jpg
6985306_v11_jpeg2f0c1dcbd0ce11f8231bec697b7e6bb7.jpeg
 
Tanzania ilijiwekeza sana kusaidia nchi za africa baada ya uhuru na maendeleo yameanza within 13yrs my friend kasome historia ndio utaelewa nyinyi mlipopata uhuru mukajitenga pekeeni na kuanza kufanya maendeleo lakini cha kuskitisha leo hii tukiwauliza ni maendeleo gani nyie mumefanya ndani ya miaka 50 utacheka

Maendeleo pekee kenya wamefanya ndani ya Miaka 60 ya Uhuru ni Kuzungumza English.
 
Bwahahaaa...kila bus iko na lounge yake...tuliza mshono baba...kwn wewe ulipanda basi gani
Hua inaniskitisha sana kuona hakuna hata choo cha stend ya mabasi ukifika mwembe tayari unaeza sema umeingia choo cha bar
 
Over 30,dar skyline haiwezi...thats why nikakwambia...ukitoa the three blue towers ni km mombasa tuView attachment 1160947
Na mbona over 30 juzi muliishia 10 mukaanza kutafuta pakutokea 😆😆😆 na hapo mchina kawasaidia vibaya sana
Kama kuna mombasa tofaut na hii nitag😆😆😆👇👇👇👇 ushuzi wa bata
1D004806-AE67-4F4D-A29C-39C4BEE2B21F.jpeg
 
Back
Top Bottom